Acha upunguani,Marehemu maalim seif kipindi cha raia kupigwa kule Zanzibar Mwaka 2001yeye aliyeitisha maandamano ya kudai haki aliondoka siku chache kabla ya hayo maandamano!Kudai haki ni haki kabisa isipokuwa itoke ndani ya nafsi za watu sio kwa ushawishi wa mtu muoga na kuwatoa watoto wetu mhanga wa kwake wapo wamekaa nyumbani.You need to lead by example.At the end of the day ikitokea faida watoto wao watakuwa wankula layer ya wali ya kati kati wakati watoto wetu wanakula makoko kwa kuandamana then wakishawaondolea makoko wao wanakula layer nzuri then wakifika mwisho wameshiba wanawaachia watoto wetu ukoko.Hao watoto wanaoandamana its from within them sio kitu cha kupandikizwa!Waache watanzania wanaotaka kuandamana iwe imetoka mioyoni mwao kama hao wanafunzi!