Katika mafundisho uliyofundishwa ulifundishwa kwamba Mungu anakufa?
Sasa jiulize ,kinachokufa kinaweza kuwa Mungu?
Link
ISLAM: The Religion of All Prophets - GainPeace
Sasa ile aya iinukuu, isome tena na tena, kuna kitu Yesu amekiweka wazi pale, "Mtafute," The only true God" ni yupi? Na Yesu ni nani kulingana na ile aya?
Ndugu nasema kwa usahihi ninaposema Yesu kristo hakuleta "uyesukristo"/ukristo kama ambavyo Muhammad hakuleta umuhammad au Moses hakuleta umoses. Natumai utatafakari.
Yesu alifufuka au alifufuliwa?
Kwani Yesu alikufa?
Hivi mwili wa mnyama au binadamu unaanza kuoza masaa ngapi baada ya kufa?
Yesu "alikufa" msimu wa joto au baridi? Umesema siku 3?
Wewe unaamini alikufa au alikuwa amezimia tu?
Hii nachomekea tu, ikikufaa well and good.