Fundi chupi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 342
- 246
Wapagani wana dini yao inayoitwa paganism. Hivyo ni dini kama zilivyo dini zingineWapagani ni watu wasioamini dini hizi zilizopo ila wanaamini uwepo wa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapagani wana dini yao inayoitwa paganism. Hivyo ni dini kama zilivyo dini zingineWapagani ni watu wasioamini dini hizi zilizopo ila wanaamini uwepo wa Mungu
Kwa kila umma, Mungu ametuma mjumbe ili awafikishie ujumbe viumbe vyake.
Hili pia hulifahamu?
Kama hulifahamu soma vitabu hivi.
1. faith and progress link http://www.al-dawah.dk/boger/engelske/pdf/Faith_and_Progress.pdf
2. The true religion of God
Kifo pia ni theory?Nakujibu hivi.
DINI NI THEORY TU MKUU.
Nani amekwambia Mungu ni mtu? Au umesoma wapi hiyo?Msicho elewa kuwa hata hivyo vitabu viliandikiwa na watu
Inshort n vitabu.vya kusadika tuu..
Napo amua kuvisoma.navisoma sawa navyo soma vitabu vingine..hakuna.cha zaid
Nacho ambulia n yale mazur na nayatumia ktk maisha ila sina huo muda na sion sababu ya kuabudu huyu mtu mmwetae mungu/allah
Kama umejiumba hivi usemavyo ni sawa. Kama unaamini umeumbwa, kwa nini usiamini kile anachokwambia aliyekuumba?Hii dunia ndio Jehanamu tosha.
Tabu, Magonjwa, Njaa, vifo, Vita etc.
Hakuna binadamu yeyote yule anaejua nini kinatokea baada ya kifo.
Wote tuna hisi tu .
Mkuu huyo mungu unayesema ni mdhambi atakuwa ni yule anayehubiriwa na dini ambazo adhabu ya watu ambao hawakupata nafasi ya kumjua ni Kali kiasi hicho. Lakini Mungu Wa Biblia anatoa maelezo kuhusu hukumu ya watu Wa namna hiyo...na bila shaka utagundua kwamba ni hukumu ya haki. Rejea Warumi 2:12-16 nimeinukuu hapo huu. Bila shaka utaona kuwa Ukristo una majibu yanayoridhisha zaidi kuhusu jambo hili.Hakika mungu km yupo basi ndio mdhambi mkubwa
Kjn wawatu kaishi maisha ya dhiki,magumu yakaraha..ajui hayo mambo ya dini bado anamtupa kwenye moto mkali wa milele
Kweli iman kitu mbaya
Hivi kwanini wanazungumziwa wakristo na waislamu tu kuwa ndiyo kila mmoja hudai yupo sahihi? mbona wanaosema kwa kujiamini kabisa kuwa hakuna mungu na wanaoamini mungu lakini hawana dini hawazungumziwi kuwa nao kila mmoja hudai yeye ndiye sahihi?Hakuna kitu kama moto wa milele. Hizo story tu vitabu vya dini vinawaambia mambo kimafumbo au lugha ambayo ni ambiguous. Waliandika wana~sodoma na ghomorrah watachomwa moto wa milele, unataka unambie hadi leo bado wanawaka? moto wa milele ni neno ambiguous sana, linaweza kua linamaanisha unachomwa unapotea milele, tofauti na ile kufa then ukafufuliwa. Sijui kama unapata my point? Kwa lugha rahisi kabisa hakuna anayeelewa chochote kile.
Alafu dini ina complications nyingi tu, utamlaumu vipi mtu kazaliwa Pagan? mtu kazaliwa Mkristo, Muislamu? nani mkweli kati yao? Una uhakika gani maana kila moja anaamini anachokiamini ndio sahihi. In other words wote tunajifanya tunajua ila hakuna anayejua ukweli, wote tunaendaenda tu. Presence ya supernatural power yaweza kuwepo au ikawa coincidence tu, no one knows kwa kua hakuna aliyewahi experience.
Utata ni upi sasa hebu fafanua vizuri.Kati ya vitu vigumu kuviamini ni pamoja na hili.hakuna mtu amewahi kwenda huko na akaludi kutuhadithia ukweli,tunasoma tu na tunaambiwa tuamini,kama MUNGU aliniumba kwa mfano wake tena akanipendelea akanipa kutawala vitu tofauti na binadamu,akili ya mimi kutamani mwanamke mzuri anaepita barabarani kanipa yeye mwenyewe,na tena ananiambia nikimtazama kwa kumtamani nimekwishazini tayali,yaani huo moto wa milele unanisubili,aisee hapa hua kuna utata,ndo mana kuna watu pia wanaamini siku ya mwisho ni ile utakayokufa mauti hapa duniani,tena wengine wanaenda mbele wanaongezea yamkini ukifa utazaliwa tena ktk namna nyingine,ni kizungu zungu kwa kweli
Lipi lenye kutufanya tuamini au tukubaliane na maneno yako kuwa ulichokisema ndiyo ukweli wenyewe na sio hisia zako tu?Hakuna cha moto wala pepo zile ni story tu kama ilivyo kwa hadithi zingine za kale za mazimwi
Kwa nini?Ukimuamini huyo mungu wa namna hiyo lazima uwe umejitoa ufahamu
Lipi la kutufanya tukubali ulichokisema?Kwa kifupi ni kwamba hakunaga mungu
Hao wajanja ni akina nani hebu wataje mkuu tuwatambue.Hilo swali ukiwauliza viongozi wa dini with an open mind ndio utagundua hata wao wanabahatisha.
Sana sana utaambiwa Mungu hachunguziki.
Ila hakuna cha moto wala nini,tena concept ya moto ukiifikiria sana ndio i.amfanya Mungu aonekane mbaya kumbe kuna wajanja wameipandikiza kwa lengi la kuleta hofu kwa watu.
Kwahiyo haiitaji kuwa uhakika pindi unapotaka kusema kuwa kitu fulani hakipo? halafu kuna watu hawapingi kuwepo kwa mungu lakini pia hawasemi kuwa mungu yupo je,hawa nao itabidi wakubali tu maneno yako kusema hakuna mungu kwa kuwa wewe umesema tu?Nikisema kitu fulani hakipo, kazi ya kuthibitisha inahamia kwako wewe unaesema yupo.
Je,wewe huo msimamo wako wa kuamini mungu lakini hauamini dini umewezaje kujua kuwa upo sahihi kwa msimamo huo? Na kuna miungu mingi hapa duniani je,mbona hiyo haijakufanya kuacha kuamini imani ya kuwepo kweli mungu kama ulivyoacha na dini?Tupo wengi mkuu, mimi naamini yupo, lakini hizi dini siziamin, cuz kila dini inasema vyake, mimi namuabudu mungu sio dini... Nazichukia sana dini cuz zimeleta ubaguzi na wala sio upendo, zimeleta vikwazo vingi... Sioni sababu ya kitabu cha dini kusheheni maelfu kwa maelfu ya kurasa wakati ingetosha kuandika tu kipi tufanye kipi tusifanye , kipi dhambi kipi sio dhambi... Lakini wamepandikiza vitu vingi, historia za mababu waliouna kwa vita... Non sense... Aaaaaah wacha niishie hapa
Unataka kusema hata hapa duniani ukifanya jambo bila ya kujua kuwa kisheria ni kosa je,huwa anasamehewa?Hakika mungu km yupo basi ndio mdhambi mkubwa
Kjn wawatu kaishi maisha ya dhiki,magumu yakaraha..ajui hayo mambo ya dini bado anamtupa kwenye moto mkali wa milele
Kweli iman kitu mbaya
Idea gani?Hakuna mungu huyo. Idea yake inajipinga yenyewe na hivyo haiwezi kuwepo.
Thibitisha?nipo ili niishi.