leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
kuna yule aliyeomba afumbuliwe apate kuona kumbe alipewa upofu kwa sabab ya kumuepusha na mambo mengi sasa hapa ndo kunafumbo wala si upofu ukitafakar vizur Hapa ni uelewa pind binadam anapo kuwa na uwezo wa kudadavua kila kitu ndo nwanzo wa kumuas mungu