Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Wakuu,
Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara, uzuri na ubaya, Haki na dhuruma, na jinsi maamuzi yake yanaweza kuathiri wengine.
NB: mtu anayejihusisha na falsafa hii anaitwa Ethicist!
So, Ethicist anapofanya jambo lake either kwa matendo au maneno yake huwa kwanza anaangalia faida na hasara ya kufanya jambo hilo.
Socrates baada ya kuitwa kwenye baraza la wazee akasomewa mashtaka yake, moja ya shtaka ikiwa kuwapotisha vijana kwa mafundisho yake alikubali kunywa sumu ili afe maana alitafakari faida na hasara, uzuri na ubaya wa yeye kuendelea kuishi, na jinsi uwepo wake kuwa duniani unaweza kuathiri Wengine. Suluhisho akaona afe.
Kuna wakati dawa ya tatizo sio kuendelea kupambana nalo bali inabidi utafakari Ethics za maisha. Maana kadri ya unavyozidi ku "Hold On" ndio unavyozidi kuumia.
Kwa mfano una mpenzi/mchumba wako unampenda sana ila huna uwezo wa kumuhudumia, ila pia kuna mtu anampenda mpenzi wako uwezo anao mzuri. Kama Ethicist inatakiwa umuachie mpenzi wako huyo aende kwa mtu huyo maana faida ni chache kuliko hasara za kua nawe. Akiwa na mtu huyo mwenye maisha mazuri atapata huduma zote pia anaweza kujenga familia na kuzaa kizazi chenye Unafuu wa maisha.
Example 2: Maisha yamekuchapa kila ukitafuta kusudi la wewe kuleta duniani hilioni. Kila unachofanya hakiendi. Kaa chini tafakari faida na hasara za wewe kuishi.
Faida: Ukifa unapunguza population density, Eneo lako ambalo ungekaa atakaa mtu mwingine mwenye thamani katika maisha, ukifa Unapunguza competition ya resources za duniani, ukifa utatengeneza fosil fuel, ukifa utarututubisha ardhi miti na majani yaote izalishe Oxygen watu wenye Maana duniani wataivuta.
Hasara: Ukifa watu watahuzunika na kulia ila baada ya wiki tu watasahau na maisha yatendelea.
I'm not encouraging anyone to die ila nilijaribu kuwatazamisha ni jinsi gani ethics inaweza kusaidia kutatua matatizo yako mbalimbali kwa kufuata faida na harmsara ya kila jambo utendelo. Socrates, Plato, Aristotle, Zeno, Marcus aurelius wote hawa walikua Ethicist. Kutokana na mawazo yao haya wameweza kuishape dunia kwa kiwango kikubwa.
But ili uweze kuishika Moral philosophy vyema inatakiwa uwe ni mfuasi japo kwa kiwango kidogo wa falsafa ya Stoicism.
Nitaeleza Stoicism kwenye comment.
-Vinci
Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara, uzuri na ubaya, Haki na dhuruma, na jinsi maamuzi yake yanaweza kuathiri wengine.
NB: mtu anayejihusisha na falsafa hii anaitwa Ethicist!
So, Ethicist anapofanya jambo lake either kwa matendo au maneno yake huwa kwanza anaangalia faida na hasara ya kufanya jambo hilo.
Socrates baada ya kuitwa kwenye baraza la wazee akasomewa mashtaka yake, moja ya shtaka ikiwa kuwapotisha vijana kwa mafundisho yake alikubali kunywa sumu ili afe maana alitafakari faida na hasara, uzuri na ubaya wa yeye kuendelea kuishi, na jinsi uwepo wake kuwa duniani unaweza kuathiri Wengine. Suluhisho akaona afe.
Kuna wakati dawa ya tatizo sio kuendelea kupambana nalo bali inabidi utafakari Ethics za maisha. Maana kadri ya unavyozidi ku "Hold On" ndio unavyozidi kuumia.
Kwa mfano una mpenzi/mchumba wako unampenda sana ila huna uwezo wa kumuhudumia, ila pia kuna mtu anampenda mpenzi wako uwezo anao mzuri. Kama Ethicist inatakiwa umuachie mpenzi wako huyo aende kwa mtu huyo maana faida ni chache kuliko hasara za kua nawe. Akiwa na mtu huyo mwenye maisha mazuri atapata huduma zote pia anaweza kujenga familia na kuzaa kizazi chenye Unafuu wa maisha.
Example 2: Maisha yamekuchapa kila ukitafuta kusudi la wewe kuleta duniani hilioni. Kila unachofanya hakiendi. Kaa chini tafakari faida na hasara za wewe kuishi.
Faida: Ukifa unapunguza population density, Eneo lako ambalo ungekaa atakaa mtu mwingine mwenye thamani katika maisha, ukifa Unapunguza competition ya resources za duniani, ukifa utatengeneza fosil fuel, ukifa utarututubisha ardhi miti na majani yaote izalishe Oxygen watu wenye Maana duniani wataivuta.
Hasara: Ukifa watu watahuzunika na kulia ila baada ya wiki tu watasahau na maisha yatendelea.
I'm not encouraging anyone to die ila nilijaribu kuwatazamisha ni jinsi gani ethics inaweza kusaidia kutatua matatizo yako mbalimbali kwa kufuata faida na harmsara ya kila jambo utendelo. Socrates, Plato, Aristotle, Zeno, Marcus aurelius wote hawa walikua Ethicist. Kutokana na mawazo yao haya wameweza kuishape dunia kwa kiwango kikubwa.
But ili uweze kuishika Moral philosophy vyema inatakiwa uwe ni mfuasi japo kwa kiwango kidogo wa falsafa ya Stoicism.
Nitaeleza Stoicism kwenye comment.
-Vinci