Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Jeshi la kongo na Ethiopia yote yapo top 10 ya majeshi yenye nguvu.
Lakini kama unavo jua Technologia huwa haimsamehe mtu.
Anaeendana nae mara zote huwa na faida kubwa kwene vita. Jeshi la Waasi wa tigray waliku na support ya Western technologically.
Hapa n pamoja na kuwavujishia satellite na GPS location ya position za jeshi la Ethiopia hivo ambush zilifanywa na kuzitandika jeshi la Ethiopia.
Dk za mwisho jamaa walikua wanajua Adis Ab ababa ilibidi PM afanye mazungumzo na upande mwingine wa shilingi maana alijua kabisa wanaowawezesha vita ile n magharibi wakitumia mashirika, vyombo vya habari, na logistic hivo akaongea na Uturuki na iRan.
Jamaa akapewa kitita cha drone!
Weeeeeeeeeeeeeeeehh kilichofuata Ni tsuuuuuuuu Tsuuuuuuuu Tsuuuuuuu.
Jamaaa walirudishwa na kuwa wadogo kama Pilton. Hatimaye plan ya regime change ikawa imefel.
DRC ilibidi isome mchezo maana ilikua na tatIio tayar. Ingekopy na kupaste.
Sijui Ethiopia iliwapa nn wale jamaa lakini vya kutoa huwa havikosekaniki.
Kwa DRC vya kutoa n vingi vya kuweza kupata support ya nchi ambazo ni neutral au siyo Ally wa US. Lakin kwa kutegemea wazungu hawa hawa walio andaa hii plan wakaiingiza kongo kwenye list ya kuzuiwa kununua silaha ili kudhoofisha jeshi, wameliparanganisha ili liwe dhaifu ili waasi waibe vizuri haiwezi saiidia.
Ni muda sasa wa DRC kushirikiana na nchi kama Cuba,iran,Russia,china , uturuki (neutra) na zingine .
Wakongo wapitishe sheria za kuforce Culture mpya.
Kuban wanaume kujichubua
Wanaume kukata viuno
Kuimba imba
Upapaa
ushenzi ushenzi
Waamshe Culture mpya
-culture ya michezo ya kupigana
-kutairiwa bila ganzi
-Kujitraine silaha
-kushiriki kwene misheni hatari za kulinda aman kama somalia
-culture zote zinazofanya wanaume
wawe wababe sio nangai nangai
NB: Nchi yeyte inayotegemea idadi ya watu kushinda vita hiyo wameisha.
nchi isiyojiendeleza na mabadiliko ya Technologia na AI wameisha pia.
Vita zimekua tofauti sikuizi
Lakini kama unavo jua Technologia huwa haimsamehe mtu.
Anaeendana nae mara zote huwa na faida kubwa kwene vita. Jeshi la Waasi wa tigray waliku na support ya Western technologically.
Hapa n pamoja na kuwavujishia satellite na GPS location ya position za jeshi la Ethiopia hivo ambush zilifanywa na kuzitandika jeshi la Ethiopia.
Dk za mwisho jamaa walikua wanajua Adis Ab ababa ilibidi PM afanye mazungumzo na upande mwingine wa shilingi maana alijua kabisa wanaowawezesha vita ile n magharibi wakitumia mashirika, vyombo vya habari, na logistic hivo akaongea na Uturuki na iRan.
Jamaa akapewa kitita cha drone!
Weeeeeeeeeeeeeeeehh kilichofuata Ni tsuuuuuuuu Tsuuuuuuuu Tsuuuuuuu.
Jamaaa walirudishwa na kuwa wadogo kama Pilton. Hatimaye plan ya regime change ikawa imefel.
DRC ilibidi isome mchezo maana ilikua na tatIio tayar. Ingekopy na kupaste.
Sijui Ethiopia iliwapa nn wale jamaa lakini vya kutoa huwa havikosekaniki.
Kwa DRC vya kutoa n vingi vya kuweza kupata support ya nchi ambazo ni neutral au siyo Ally wa US. Lakin kwa kutegemea wazungu hawa hawa walio andaa hii plan wakaiingiza kongo kwenye list ya kuzuiwa kununua silaha ili kudhoofisha jeshi, wameliparanganisha ili liwe dhaifu ili waasi waibe vizuri haiwezi saiidia.
Ni muda sasa wa DRC kushirikiana na nchi kama Cuba,iran,Russia,china , uturuki (neutra) na zingine .
Wakongo wapitishe sheria za kuforce Culture mpya.
Kuban wanaume kujichubua
Wanaume kukata viuno
Kuimba imba
Upapaa
ushenzi ushenzi
Waamshe Culture mpya
-culture ya michezo ya kupigana
-kutairiwa bila ganzi
-Kujitraine silaha
-kushiriki kwene misheni hatari za kulinda aman kama somalia
-culture zote zinazofanya wanaume
wawe wababe sio nangai nangai
NB: Nchi yeyte inayotegemea idadi ya watu kushinda vita hiyo wameisha.
nchi isiyojiendeleza na mabadiliko ya Technologia na AI wameisha pia.
Vita zimekua tofauti sikuizi