Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Yugoslavia ilivunjika na kutoa Mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo.
Ethiopia ina makabila makuu manne.
Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.
Hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.
Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.
Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?
Ethiopia ina makabila makuu manne.
Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.
Hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.
Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.
Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?