Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Yugoslavia ilivunjika na kutoa Mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo.

Ethiopia ina makabila makuu manne.

Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.

Hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.

Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.

Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?
 
Yugoslavia ilivunjika na kutoa mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo...
Ila tabia ni kama ngozi ya mwili uaifichiki. Huyo Abiy aluanza vizuri sana mpaka Waethiopia wanaokimbia nchi yak wakaanza kupata matumaini.

Naona ameshindwa ku-pretend, Amerudi kwenye rangi hali kwa kishindo sana.

Sisi makabila makubwa hatuna, ila tumechukua njia ya Ethiopia: Maisha magumu yatatunyoooosha hasa
 
kuna madada mkule twitter anajiita sarangi kuchwa kuche alikuwa anamsifia abiye sasa awaache watigray waanzishe nchi yao
 
Tigray ni wachache ila wananguvu sana na Mali. Na ndio hao walimng'oa dikteta Mengistu Haile Mariam. Tigray wapo hadi Eritrea na wanaongea lugha moja Tigrinia japo mipaka tu na siasa imewatenganisha.

Rais wa Eritrea Isias alikulia na kusomea Addis Ababa akarudi Eritrea na kuanza siasa zake chafu.

Melez Zinawi aliingoza TPLF na akaleta maendeleo sana Ethiopia.

Wasomali wa Ethiopia wako jimbo la ogaden wenyewe wanjiona hawako Ethiopia. Djibouti ni Wasomali hawajawahi kuwa Ethiopia.

Cha kushangaza wote hao Ethiopian hawawezi kujitofautisha kwa sura wanakuja kujitofautisha na kujua flani katoka kabila flan wanapoongea.

Queen sheba (Sabaah) kipenzi cha mfalme Suleiman alitokea Tigray.

Pia kuna makabila mengi madogo madogo kusini mwa Ethiopia 'Southern nations' omo river valley kama gurage, Hamar.

Nilishaletaga Uzi humu miaka ya nyuma kuhusu uhasama wa makabila ya Ethiopia kwenye id yangu pendwa iliyopigwa life ban copen hagen DN
 
Mchawi hapo ni bwawa, hamna lolote.
Yugoslavia ilivunjika na kutoa Mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo.

Ethiopia ina makabila makuu manne.

Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia. wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.

hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.

Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.

Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?
 
Wale mafarasha ndo akina nani make wao ndo wanajiita waislaeri originino,Pia na wahabesh ndo wepi pia
Tigray ni wachache ila wananguvu sana na Mali. Na ndio hao walimbg'oa dikteta Mengistu Haile Mariam. Tigray wapo hadi Eritrea na wanongea lugha moja Tigrinia japo mipaka tu na siasa imewatenganisha.

Rais wa Eritrea Isias alikulia na kusomea Addis Ababa akarudi Eritrea na kuanza siasa zake chafu.

Melez Zinawi aliingoza TPLF na akaleta maendeleo sana Ethiopia.

Wasomali wa Ethiopia wako jimbo la ogaden wenyewe wanjiona hawako Ethiopia. Djibouti ni Wasomali hawajawahi kuwa Ethiopia.

Cha kushangaza wote hao Ethiopian hawawezi kujitofautisha kwa sura wanakuja kujitofautisha na kujua flani katoka kabila flan wanapoongea.

Queen sheba kipenzi cha mfalme Suleiman alitokea Tigray.

Pia kuna makabila mengi madogo madogo kusini mwa Ethiopia 'Southern nations' imo river valley kama gurage, Hamar.

Nilishaletaga Uzi humu miaka ya nyuma kuhusu uhasama wa makabila ya Ethiopia kwenye id yangu pendwa iliyopigwa life ban copenn hagen db
 
Yugoslavia ilivunjika na kutoa Mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo.

Ethiopia ina makabila makuu manne.

Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia. wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.

hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.

Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.

Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?
Ni kweli kabisa Yugoslavia ilivunjika kutokana ukabila ethnicity. Lakini cha kushangaza Serbia na Montenegro wote ni kabila la Serb (ambalo ndio kubwa kuliki yote ya former Yugoslavia) lakini yote ni mataifa tofauti na Montenegro ipo EU lakini siyo Serb.

Former Yugoslavia wametengana lakini siyo kihuhasama kama Ethiopia ispokuwa tu Kosovo na Bosnia Herzegovina ishu kubwa ilikuwa udini.

Wote hao former Yugoslavia wametokea language group moja slavs ambayo ni Urusi tofauti na Ethiopia Tigray ni Semitic shabiana na Arabs/ Hebrew, Oromo/somali ni cushites wanashabiana lugha zao.

Serbiaan, skovenians, croats na makedonians licha ya kutenganga bado wanajiita brothers kwasababu irthodox Christianity imewaunganisha pamoja na Slavic languages. Ila wa Kosovo ni ethnic Albanian.
 
Ila tabia ni kama ngozi ya mwili uaifichiki. Huyo Abiy aluanza vizuri sana mpaka Waethiopia wanaokimbia nchi yak wakaanza kupata matumaini.

Naona ameshindwa ku-pretend, Amerudi kwenye rangi hali kwa kishindo sana.

Sisi makabila makubwa hatuna, ila tumechukua njia ya Ethiopia: Maisha magumu yatatunyoooosha hasa
mi nadhani shida kubwa ni hao wa Tigray waliozoea kukalia madaraka na kujipatia mali, sasa wanaona wanaonewa.
 
Wale mafarasha ndo akina nani make wao ndo wanajiita waislaeri originino,Pia na wahabesh ndo wepi pia
Habesh ama Habesha ni jina la kiarabu na Amharic ikimaanisha Waethiopia (Amhara, Oromo na Tigray) na Eritreans. Kumbuka Eritreans na Tigray hawana tofauti lugha moja Tigrinia ila siasa na mipaka imewatenga.

Amhara na Tigray wamechanganyikana sana tofauti na Oromo wako kivyao na kamwe hawaoni na Tigray.

Wale nafalasha ni race fakers tuu wanadai ni wajukuu wa Menelik mtoto wa Queen Sheba (sabaah) na mfalme Suleiman

Haileselasie nusu alikuwa Tigrian na Amhara

Mkuu wa WHO Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus ni Tigray.

MKimbiaji wa riadha maarufu Haille gabreselasie ni Amhara
 
Tigray ni wachache ila wananguvu sana na Mali. Na ndio hao walimbg'oa dikteta Mengistu Haile Mariam. Tigray wapo hadi Eritrea na wanaongea lugha moja Tigrinia japo mipaka tu na siasa imewatenganisha.

Rais wa Eritrea Isias alikulia na kusomea Addis Ababa akarudi Eritrea na kuanza siasa zake chafu.

Melez Zinawi aliingoza TPLF na akaleta maendeleo sana Ethiopia.

Wasomali wa Ethiopia wako jimbo la ogaden wenyewe wanjiona hawako Ethiopia. Djibouti ni Wasomali hawajawahi kuwa Ethiopia.

Cha kushangaza wote hao Ethiopian hawawezi kujitofautisha kwa sura wanakuja kujitofautisha na kujua flani katoka kabila flan wanapoongea.

Queen sheba kipenzi cha mfalme Suleiman alitokea Tigray.

Pia kuna makabila mengi madogo madogo kusini mwa Ethiopia 'Southern nations' imo river valley kama gurage, Hamar.

Nilishaletaga Uzi humu miaka ya nyuma kuhusu uhasama wa makabila ya Ethiopia kwenye id yangu pendwa iliyopigwa life ban copenn hagen db
Safi sana mkuu,hawa Tigray sikuwahi kuwajua sana harakati zao ukipata muda tushushie story mbili tatu kuwahusu tuone harakati zao zikoje mzee baba.
 
Ila tabia ni kama ngozi ya mwili uaifichiki. Huyo Abiy aluanza vizuri sana mpaka Waethiopia wanaokimbia nchi yak wakaanza kupata matumaini.

Naona ameshindwa ku-pretend, Amerudi kwenye rangi hali kwa kishindo sana.

Sisi makabila makubwa hatuna, ila tumechukua njia ya Ethiopia: Maisha magumu yatatunyoooosha hasa
mi nadhani shida kubwa ni hao wa Tigray waliozoea kukalia madaraka na kujipatia mali, sasa wanaona wanaonewa.
 
Yugoslavia ilivunjika na kutoa Mataifa kutokana na makabila, naona Ethiopia ikienda mlengo huo.

Ethiopia ina makabila makuu manne.

Oromo ndiyo kubwa kama 35 asilimia wanafuata Amhara asilimia 30, Tigray asilimia 6 na wasomali asilimia 6.

Hawa wengi wanaishi kwenye majimbo yao ambayo yana Rais na jeshi lao. Miaka ya mwanzoni mwa 90 watigray japo wachache waliangusha utawala wakijamaa nakuongoza nchi hadi alipokuja waziri mkuu wa sasa ambaye ni muoromo mwaka 2017.

Waoromo walinyanyaswa sana kipindi cha utawala wa watigray. Kwahiyo na sasa watigray wanaona kama wannyanyaswa.

Kimsingi Ethiopia kuna machafuko na vita ya kikabila. Ethiopia inaweza kusambaratika?
Ndicho chadema walitaka kuigawa nchi na kutaka ili baadae tusambaratike kimakabila. Unapotengeneza umajimbo unaandaa nchi kusambaratika.
 
Back
Top Bottom