Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia

..
Madaraka kitu adhimu sana, kila mmoja anayataka.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
....ndicho KIWAPIGANISHACHO....

Imagine OROMIA miaka nenda rudi wanafanywa TAMBARA la DEKI....

Leo ametokea mmoja kuwa PM....ishakuwa tena ngoma ni ileileee....

Abiy Ahmed anaijua vyema ETHIOPIA....
Abiy Ahmed alichaguliwa kwa SIFA STAHIKI na waethiopia....
Abiy Ahmed amepewa tuzo ya NOBEL kwa kuanza kuondoa SINTOFAHAMU ya nchi hiyo....

Nchi zenye UCHUMI WA KIKABILA suluhisho huwa ni:

1.Matumizi ya nguvu kuwadhibiti WAKAIDI.

2.Kugawana nchi.
 
Omo river valley kusini mwa Ethiopia kuna makabila madogo makubwa 'Southern nations' hya makabila moja yao ni maarufu Hamar na ni tofauti na Habeshas (Oromo, Amhara, Tigray, Gurage) na Eritreans. Hawa ni highland nilotes and interestingly Chimbuko la wamasai, Kalenjins (kabila la moi na Ruto na eliud kipchoge Kenya) na Karamajong (uganda) wametokea huku long time na kumigrate South.

Makabila mengine ni

Wanahifadhi mila zao na closely guarding them. Idadi yao siyo kubwa sana kama laki mbili ni Dogo kweli ukilinganisha na more than 100 million Ethiopia populatio.

Makabila yanayopatikana hapa ni Hamar, Mursi, Karo/Kara, Dorze, Bena (tofauti na wabongo wabena wa bongo ni Bantus), Dasenech, Bome, Tsemai na Erbore.

Haya makabila siyo legelege kama akina Tigray wanalima sana na mahindi yanatoka kwa wingi ukanda wao. Hata Addis Ababa wengi wao ndio vibarua hadi wanawake kwenye kubeba zege.

Bint wa kabila la Hamer
1e269d763163c48344187e442da2fa80.jpg


Wanaume wa kabila la Dasenacg
Dasenech_2 (1).jpg


Wanawake wa kabila la Erbore

Erbore_2 (1).jpg


Mursi tribe
MursiTribe.jpg
Dasenech_2 (1).jpg
 

Attachments

  • Dasenech_2 (1).jpg
    Dasenech_2 (1).jpg
    48.6 KB · Views: 2
Omo river valley kusini mwa Ethiopia kuna makabila madogo makubwa 'Southern nations' hya makabila moja yao ni maarufu Hamar na ni tofauti na Habeshas (Oromo, Amhara, Tigray, Gurage) na Eritreans. Hawa ni highland nilotes and interestingly Chimbuko la wamasai, Kalenjins (kabila la moi na Ruto na eliud kipchoge Kenya) na Karamajong (uganda) wametokea huku long time na kumigrate South.

Makabila mengine ni

Wanahifadhi mila zao na closely guarding them. Idadi yao siyo kubwa sana kama laki mbili ni Dogo kweli ukilinganisha na more than 100 million Ethiopia populatio.

Makabila yanayopatikana hapa ni Hamar, Mursi, Karo/Kara, Dorze, Bena (tofauti na wabongo wabena wa bongo ni Bantus), Dasenech, Bome, Tsemai na Erbore.

Haya makabila siyo legelege kama akina Tigray wanalima sana na mahindi yanatoka kwa wingi ukanda wao. Hata Addis Ababa wengi wao ndio vibarua hadi wanawake kwenye kubeba zege.

Bint wa kabila la HamerView attachment 1627780

Wanaume wa kabila la DasenacgView attachment 1627785

Wanawake wa kabila la Erbore

View attachment 1627791

Mursi tribe View attachment 1627795
👍👍
 
Kuna kitu nyuma ya pazia litakapo chanika na likabakia wazi tutajua Mengi. Muda utasema tuvute subira.
 
Kabla utumwa haujapigwa marufuku ethiopia. Hao wa kaskazini (watigray na Amhara) walikuwa wakifanya hawa wa kusini , weusiweusi, waoromo kama watumwa. Na Ethiopia wamechelewa sana kukomesha utumwa, mwaka 1931.
....na huo pia una mchango mkubwa dhidi ya UMOJA WA TAIFA HILO!!
 
Kuna 'wapare wa Ethiopia ama wakinga wa Ethiopia' kabila la Gurage lugha yao ni cushitic. Yani ni mabahiri balaa mpare ni cha mtoto. Karibia wote ni Waislamu. Na ni wafanyabiashara wazuri sana hasa za maduka magenge na migahawa na gesti.

Gurage hata kama ana hela utakuta anakula mlo mmoja kubana Matumizi. Ila ni wakarimu na liberals.

Kuna hawa Hafar kutoka Harar wanaume wao wana mila za kuweka mitindo ya nywele za ajabu ajabuView attachment 1627746
Mkuu ahsante sanaaa....katika chimbachimba yako hujafahamu asili ya Wapare?!!

Maana hawa kina Mshana Jr naskia nao walitokea ETHIOPIA...isije ikawa ndugu zao WALIOBAKI ndio hao GURAGE wanaoshindia kashata na kahawa?!!
 
Heading ilitakiwa kusomeka: Ethiopia inaenda kuvunjika kama Yugoslavia?
Hakika, ilipaswa iwe hivi..

Kinyume chake, kama ingebaki kama ilivyo basi kila mtu alitegemea mleta mada alete deep analysis ya historia ya Ethiopia ilikotoka, ilipo na inakoelekea na kwanini inakwenda kusambaratika..

Hii ingeweza kumjengea picha msomaji asiyeijua Ethiopia kuelewa vizuri ilikuwaje, iko vipi na kwanini inakwenda kuvunjika vunjika..

Lakini alichofanya mwandishi kiko too shallow, hakiakisi picha kamili ya title yake..

Kwa wasioijua Ethiopia na kuelewa nini kinaendelea huko, hawawezi kuelewa chochote....!!
 
Ethiopia imejali maendeleo ya vitu badala ya kuzingatia haki, uhuru, na maendeleo ya watu. Ndiko Tanzania chini ya Mhutu tunakoelekea.
Utasubiri sana wewe uliyejaa chuki dhidi ya rais wetu,kiama ya mwili itakukuta bila kushuhudia haya unayotamani yaikute nchi yetu
 
Mkuu ahsante sanaaa....katika chimbachimba yako hujafahamu asili ya Wapare?!!

Maana hawa kina Mshana Jr naskia nao walitokea ETHIOPIA...isije ikawa ndugu zao WALIOBAKI ndio hao GURAGE wanaoshindia kashata na kahawa?!!
Wapare ni Eastern Bantus. Eastern Bantus ni Kikuyu, wakamba, Meru wa Kenya, Embu. Na pia ni Wachaga, Meru Tanzania, wapare na makibila yote ya Tanga na Mombasa.

Historia inasema walisafiri pamoja ila hao wa Kikuyu na wakamba wakaendelea zaidi na kuwaacha wapare na wachafa meru nyuma waliamua kusettle permanently walipo sasa hivi
 
Ngozi lainiiii....

Saafiii kwa "kutumia"...

Mkuu hivi hawa ndio wale wanaooga maziwa?!!!

Vipi kuhusu FGM?

Nao mabinti wa kihamer wanaondolewa "antenna"?!!!
Sijafahamu kwa hilo ila Oromo na Wasomali kumpata demu ana antena ni kama lulu ama rupia.

Ila wana mila zao za ajabu demu kucharazwa mijeledi mgongoni hadi damu zitoke kuonyesha ukakamavu na kupendwa na wanaume
 
Hii vita ilikuwa haiepukiki, hata mimi ningekuwa Abbiy Ahmed ingenibidi tu kuwachapa wa Tigray! Haiwezekani jimbo liasi serikali kuu halafu wachekewe tu. Hawa jamaa licha ya kuwa wapo only 6% lakini wanajifeel superior sana kutokana na utawala wa miaka 25+ wa Melles Zenawi mtigray mwenzao ambapo nafasi za juu za nchi na nyanja zote za kiuchumi zikashikiliwa na hiki kikabila. Hapo ndipo hata mabilionea wakiethiopia walipatikana kupitia ufisadi uliopitiliza katika serikali pendelevu ya Zenawi na matajiri almost wote walioibuka walikuwa watigray.Wakajisahau kabisa na kujiona wao ndiyo wana hati miliki ya nchi.

Hatua waliyofikia ya kujifanyia uchaguzi wao peke yao wa viongozi nje ya kalenda ya serikali na kushambulia kituo cha kijeshi cha jeshi kuu la nchi hakikubaliki kabisa kwa namna yoyote. Dawa yao ilikuwa ni kuchapwa tu, kitu ambacho ndicho exactly Abbiy amekifanya.
 
Tigray ni wachache ila wananguvu sana na Mali. Na ndio hao walimng'oa dikteta Mengistu Haile Mariam. Tigray wapo hadi Eritrea na wanaongea lugha moja Tigrinia japo mipaka tu na siasa imewatenganisha.

Rais wa Eritrea Isias alikulia na kusomea Addis Ababa akarudi Eritrea na kuanza siasa zake chafu.

Melez Zinawi aliingoza TPLF na akaleta maendeleo sana Ethiopia.

Wasomali wa Ethiopia wako jimbo la ogaden wenyewe wanjiona hawako Ethiopia. Djibouti ni Wasomali hawajawahi kuwa Ethiopia.

Cha kushangaza wote hao Ethiopian hawawezi kujitofautisha kwa sura wanakuja kujitofautisha na kujua flani katoka kabila flan wanapoongea.

Queen sheba (Sabaah) kipenzi cha mfalme Suleiman alitokea Tigray.

Pia kuna makabila mengi madogo madogo kusini mwa Ethiopia 'Southern nations' omo river valley kama gurage, Hamar.

Nilishaletaga Uzi humu miaka ya nyuma kuhusu uhasama wa makabila ya Ethiopia kwenye id yangu pendwa iliyopigwa life ban copen hagen DN
Yaani wala huogopi kupigwa ban tena
 
Hii vita ilikuwa haiepukiki, hata mimi ningekuwa Abbiy Ahmed ingenibidi tu kuwachapa wa Tigray! Haiwezekani jimbo liasi serikali kuu halafu wachekewe tu. Hawa jamaa licha ya kuwa wapo only 6% lakini wanajifeel superior sana kutokana na utawala wa miaka 25+ wa Melles Zenawi mtigray mwenzao ambapo nafasi za juu za nchi na nyanja zote za kiuchumi zikashikiliwa na hiki kikabila. Hapo ndipo hata mabilionea wakiethiopia walipatikana kupitia ufisadi uliopitiliza katika serikali pendelevu ya Zenawi na matajiri almost wote walioibuka walikuwa watigray.Wakajisahau kabisa na kujiona wao ndiyo wana hati miliki ya nchi.

Hatua waliyofikia ya kujifanyia uchaguzi wao peke yao wa viongozi nje ya kalenda ya serikali na kushambulia kituo cha kijeshi cha jeshi kuu la nchi hakikubaliki kabisa kwa namna yoyote. Dawa yao ilikuwa ni kuchapwa tu, kitu ambacho ndicho exactly Abbiy amekifanya.
Abiy alitegwa sana na Nobel peace price. Anajitahidi sana lakini bado anachangamoto. Pia apendwi na wa Oromo wenzake Abiy baba yake ni Oromo mama yake ni Amhara.

Kuna kijana Machachari wa Kioromo anakuja juu kweli Mohaned Jarawa alikuwa akiishi uhamishoni Marekani amepewa kesi ya uhani. Yani huyo kama uchaguzi ukiwa fair anakuwa Rais anaheshimika sana Oromia. Kura pekee za wa Oromo zinaweza kumuweka mtu Rais.

Tunasema Magufuli dikteta Magufuli siyo dikteta udikteta huko Ethiopia na bila udikteta ile nchi haikaliki watachinjana kama kuku.

Abiy tatizo kagusa maslahi ya Tigray ni kosa kubwa sana kafanya wale wanaume wa Tigray wakiamua tu
 
Sijafahamu kwa hilo ila Oromo na Wasomali kumpata demu ana antena ni kama lulu ama rupia.

Ila wana mila zao za ajabu demu kucharazwa mijeledi mgongoni hadi damu zitoke kuonyesha ukakamavu na kupendwa na wanaume
Looh kumbe Oromo Kama Wasomali eee😂😂
 
Back
Top Bottom