ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Bora ungekaa kimya tu kuliko kukurupuka! Huu ugomvi wa Ethiopia hakuna Msomali anayehusika hata kidogo. Yaani kwenye siasa za Ethiopia hawa wasomali wa Ethiopia hawapo kabisa na wala huwa hawajioni kama wao ni waethiopia wanajiita wasomali. Abbiy Ahmed japokuwa ni mu-oromo (Kabila lenye waislam wengi) lakini yeye ni Mpentekoste na Tigray majority kama sio wote ni wakristo wa madhehebu ya Orthodox.Mahali popote alipo Msomali + Waislam wengi kunakuwa na matatizo ya kudumu
Kifupi wana laana nzito kuwahi kutokea duniani
Hapo Msomali na Uislam umeingiaje?