Ethiopia na Djibouti zaomba kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

Toa ujinga wako hapa,wakuletee machafuko kivipi labda?
Mjinga baba yako ambae aliacha kutumia mpira kupelekea kutungishwa mimba ya juha moja kama wewe.

Kila mtu na mawazo yake, nimetumia simu ya bi mkubwa wako kuandika comment yangu? Usijipe ukiranja wa jukwaa.
 
Mjinga baba yako ambae aliacha kutumia mpira kupelekea kutungishwa mimba ya juha moja kama wewe.

Kila mtu na mawazo yake, nimetumia simu ya bi mkubwa wako kuandika comment yangu? Usijipe ukiranja wa jukwaa.
Toa upuuzi wako hapa wewe short sighted
 
Kuongeza matatizo pia. Nchi kama Somalia usalama mdogo, anapokua mwanachama lazima tutahusika na matatizo yake kwa namna moja au nyingine na hapo ndo tunaweza jikuta tunaingia kwenye misala ambayo hatukutarajia
Sawa lakini unataka kuniambia tishio la usalama la sasa ni zaidi ya enzi za miaka ya 1950s-1990s wakati Tanzania ikiongoza mapambano ya uhuru katika Mataifa ya Afrika ya Kusini na Kati?

Enzi zile Tanzania ilikuwa na maadui kadhaa wakiwemo Sultan wa Zanzibar, Makaburu wa South Africa, Namibia; Walowezi wa Zimbabwe, Angola na Msumbiji na bado Bwana Dada wa Uganda kule; hata Somalia mambo yaliharibika kuanzia 1990s.

Kwa sasa tishio la usalama wa Tanzania sanasana ni bwana PAKA na hao Wasomali, ambapo bado ni cha mtoto ukilinganisha na enzi zile za miaka ya 1950s-1990s.

Kumbuka, Tanzania bado ina ushawishi mkubwa sana kwenye Muungano wa EAC na hata AU.

Japo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una kero, bado unabaki kuwa kielelezo kizuri Afrika.

Nina uhakika EAC ikikubali nchi fulani ijiunge maana yake ni kwamba maoni ya Tanzania ndiyo huzingatiwa kwa sababu ya uzoefu wake.
 
Wapinzani wa nchi hii.

Wanaharakati wa nchi hii.

Get your passport ASAP.
 
Acha upotoshaji unafikiri South Sudan na Somalia zimeingia kwa ushawishi wa Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…