Ethiopia overtakes Kenya as economic giant of East Africa

Ethiopia overtakes Kenya as economic giant of East Africa

Mimi kiufupi kiswahili sikusoma nilijifunza. nimesoma nje nikaja malizia elimu vyuo vya TZ. Ndomaana naweza kaa meza moja na Odinga pamoja na Wanjigi.

Sasa lugha ipi unaimudu maana hata kingereza chako hutia kichefuchefu.
 
Kulaaniwa, sio kurahaniwa. Itakuwa ulienda shule kuvunja madirisha wewe. Kama kawa unaendeleza ukabila wako tu. Mimi nataja vyama wewe unataja makabila. Kuna siku niliona uzi wako flani, kichwa chake kilikuwa eti Wakikuyu! Akili za mende.
Huu ndo ujinga wa raisi Mkikuyu asiye jitambua. Yani K ya capital letter
Check out @MabiorTo’s Tweet:
 
Wakikuyu nyote K iliyovunda ikaoza kwa harufu. Wachache sana mnajitambua
Yaani wewe unajua kila mkenya ni mkikuyu? Kama wakikuyu walirarua papuchi yako bila idhini yako usituletee hasira zako. Nenda ukawaone hao manesi kwenye hospitali zenu kwanza kisha uandamane na pichu yako ukaripoti kwa polisi.
 
Sasa lugha ipi unaimudu maana hata kingereza chako hutia kichefuchefu.
Kirusi twende kama unaweza mkikuyu jobless. Umesha maliza trading zako za online?? Always working for whites. You cant establish your own business
 
Sasa lugha ipi unaimudu maana hata kingereza chako hutia kichefuchefu.
Kwa huu umbea wake wa vijiweni, labda kwenye kizaramo atakuwa yupo freshi kupindukia. Anasema ni swahiba yake Wanjigi na Raila, ushamba na bange zikichanganyika hapo lazima kuna kitu kitalipuka.
 
Yaani wewe unajua kila mkenya ni mkikuyu? Kama wakikuyu walirarua papuchi yako bila idhini yako usituletee hasira zako. Nenda ukawaone hao manesi kwenye hospitali zenu kwanza kisha uandamane na pichu yako ukaripoti kwa polisi.
Asilimia 90% ya Kikuyu men are gays thus why even your ladies prefer to get married to Luo's. Am 100% that your a Kikuyu tena uliyekosa matunzo isitoshe utakuwa huna malinda.
 
Kwa huu umbea wake wa vijiweni, labda kwenye kizaramo ndio atakuwa yupo freshi kupindukia. Anasema ni swahiba ya Wanjigi na Raila, ushamba na bange zikichanganyika hapo lazima kuna kitu kitalipuka.
ndio niko vizuri kwenye kizaramo mkikuyu jobless uliyekosa matunzo residing at Afya center with other kikuyu chokora's. Wakikuyu mnarahana yakuzaliwa. Wezi wakubwa nyie ndomaana tunawafukuza TZ nakubakiza Luo's
 
Kenya has been in crisis for long, but nyang'aus are still hoping that they're superior and are doing better, hahaaa one day you'll get stressed to be told that Burundi is ahead of you nyang'aus!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ndio niko vizuri kwenye kizaramo mkikuyu jobless uliyekosa matunzo residing at Afya center with other kikuyu chokora's. Wakikuyu mnarahana yakuzaliwa. Wezi wakubwa nyie ndomaana tunawafukuza TZ nakubakiza Luo's
Hahaha. Mnarahana, kijana wa kolomije, Nairobi unajua tu afya centre. Meeting point ya wote wanaotoka mikoani. The green building. Ushamba utakuua!
 
You dont have to write long responses to prove your mediocrity, so many words zero intelligence. Waste of time, same shiit everyday. Hopeless
tanzania-mount-kilimanjaro.jpg
 
Mimi mambo ya uchumi yananishangaza!! Hawa wa Ethiopia kila siku wanakamatwa wamesondekwa kwenye ma container!! . Huu uchumi unamsaidiaje raia wa kawaida, kama hawa wa Ethiopia wanaojitolea maisha yao kwenda ughaibuni?!

Lakini kama uchumi ni mambo ya takwimu na watawala kwangu sioni logic.
Wacha nikusaidie Odhiambo kwani napenda sana mambo ya uchumi. Ethiopia sasa hivi wana uchumi mkubwa kidogo kushinda Kenya ila hawajatuwachia mbali. Imf inasema uchumi wa Ethiopia ni $78 billion. Lakini hata hivyo wana watu mara dufu ya Kenya. Sasa wewe niambie nani, kati ya Kenya na Ethiopia ni masikini kushinda mwingine? Kwa hivyo usishangae kuona waethiopia wakifariki kule Mediterranean sea wakijaribu kuvuka kuingia Europe. Kenya na Ethiopia ni kama nyumba mbili ambako kila nyumba inakula pakiti kilo moja ya ugali, kila siku. Lakini nyumba ya kwanza ina watoto watano na ya pili ina watoto kumi. Ni nyumba gani ambako watoto watashiba na ni gani ambako watoto watalala na kuamka usiku kwa sababu ya njaa. Saa zingine economics ni simple hivyo.
 
Always I do ask myself many questions without getting answers, Ethiopia GDP is bigger than that of Kenya, but majority of Ethiopians are living very bad lives than majority of Kenyans. Kenya has bigger GDP than Tanzania, but majority of Kenyans live very poorly than Tanzanians. Where these GDPs go, and why lives of these countries with bigger GDP are worse than those with small GDPs?
Inaitwa lack of equal income distribution. Tanzania si ati nyinyi ni wazuri sana. Nyerere alikuwa mwerevu akaleta ujamaa system. Shida ya ujamaa ni eti haikuleta maendeleo mengi ya kiuchumi T.z. Hata hivyo, uzuri wa ujamaa ni eti, ilizuia makurutu ,mabepari na cartels kujitajirisha, huku watu wengi wakibaki masikini. Lakini Tanzania mumeamua kufuata mfumo wa ubepari. Hivi karibuni kutakuwa na Watanzania wachache matajiri na watu wengi masikini.
 
Inaitwa lack of equal income distribution. Tanzania si ati nyinyi ni wazuri sana. Nyerere alikuwa mwerevu akaleta ujamaa system. Shida ya ujamaa ni eti haikuleta maendeleo mengi ya kiuchumi T.z. Hata hivyo, uzuri wa ujamaa ni eti, ilizuia makurutu ,mabepari na cartels kujitajirisha, huku watu wengi wakibaki masikini. Lakini Tanzania mumeamua kufuata mfumo wa ubepari. Hivi karibuni kutakuwa na Watanzania wachache matajiri na watu wengi masikini.
Mbona hata Ethiopia walifuata Ujamaa lakini bado wananchi wao wengi wanaishi maisha magumu sana kuliko Kenya waliofuata ubepari?
 
😱😱..... and where is our beloved country!? At the end of this tail.

Ethiopia overtakes Kenya as economic giant of East Africa

Ethiopia
Ethiopia has officially overtaken neighbouring Kenya as East Africa’s economic giant.

According to International Monetary Fund (IMF) figures, Ethiopia’s annual economic output (i.e. Gross Domestic Product (GDP)) for this year was expected to hit $78 billion from $72 billion recorded last year.
Their economic growth since 2015 has been pegged at 10.8% which has helped put a significant gap between them and Kenya. In monetary terms, Ethiopia has opened a gap of about $29 million over Kenya.

Ethiopia’s economic growth is hinged on public-led spending on infrastructure and a strong demand by locals. It has also recently become an destination of choice for particularly Chinese investors.

Non-resource-intensive countries, such as Ivory Coast, Ethiopia, Kenya, and Senegal, generally continued to grow robustly, benefiting from strong domestic demand and high levels of public spending, though in some cases, growth eased from 2015,’‘ an IMF report released in April 2017 read.

Ethiopia’s economy since 2015 has been on an upward trajectory since the government moved to modernise its roads, railway and power plants. They are on cue to have Africa’s biggest hydroelectric dam upon the completion of work on the Grand Ethiopia Renaissance Dam (GERD).
 
Mbona hata Ethiopia walifuata Ujamaa lakini bado wananchi wao wengi wanaishi maisha magumu sana kuliko Kenya waliofuata ubepari?
Swali nzuri sana mwanafunzi wangu. Ethiopia, ardhi karibia asilimia sabini au zaidi ni jangwa. Pili, kuna madikteta wajinga sana wanaitwa the derg regime, waliomuondoa Haile selasie mamlakani.Kisha wakaongoza nchi hiyo vibaya sana. Watu wengi waliuwawa kinyama na derg regime. Hio regime haikuinvest kwa kilimo na kusababisha watu wengi kufa njaa 1984 kwa sababu ya ukame. Uongozi mbaya ndio imekuwa shida ya Ethiopia.
 
Hahaha. Mnarahana, kijana wa kolomije, Nairobi unajua tu afya centre. Meeting point ya wote wanaotoka mikoani. The green building. Ushamba utakuua!
Ushamba niwewe unaetumika na Uhuru kuleta siasa yakikabila humu ndani. Mnaanza kumsimaga Mkikuyu-akilitimamu kwa kumuongelea Odinga kwa kejeli wewe na MK254. Pimbi kweli nyie. Hapa sio Kanya Talk ni JF. Ukabila peleka huko Gatundu sio humu.
 
Swali nzuri sana mwanafunzi wangu. Ethiopia, ardhi karibia asilimia sabini au zaidi ni jangwa. Pili, kuna madikteta wajinga sana wanaitwa the derg regime, waliomuondoa Haile selasie mamlakani.Kisha wakaongoza nchi hiyo vibaya sana. Watu wengi waliuwawa kinyama na derg regime. Hio regime haikuinvest kwa kilimo na kusababisha watu wengi kufa njaa 1984 kwa sababu ya ukame. Uongozi mbaya ndio imekuwa shida ya Ethiopia.
Sasa nikisema kwamba factor kubwa inayosababisha maisha ya wananchi wengi kuwa magumu ni uongozi mbaya, na kwamba hata Kenya tatizo ni uongozi mbaya na sio siasa za ubepari kwasababu nchi nyingi zilizofuata ubepari lakini zikawa na uongonzi mzuri wananchi wao wanaishi maisha mazuri, utakubaliana na mimi?
 
Asilimia 90% ya Kikuyu men are gays thus why even your ladies prefer to get married to Luo's. Am 100% that your a Kikuyu tena uliyekosa matunzo isitoshe utakuwa huna malinda.
Naona baada ya kuchoka kutumia kiswahili chako kibovu kueneza ukabila wako, sasa umeamua kuingia kwenye zile nyanja zenu. Uchafu huo wengine wetu hatuupigiagi promo za kipuuzi. Pussy juice is so sweet! 😀
 
Wacha nikusaidie Odhiambo kwani napenda sana mambo ya uchumi. Ethiopia sasa hivi wana uchumi mkubwa kidogo kushinda Kenya ila hawajatuwachia mbali. Imf inasema uchumi wa Ethiopia ni $78 billion. Lakini hata hivyo wana watu mara dufu ya Kenya. Sasa wewe niambie nani, kati ya Kenya na Ethiopia ni masikini kushinda mwingine? Kwa hivyo usishangae kuona waethiopia wakifariki kule Mediterranean sea wakijaribu kuvuka kuingia Europe. Kenya na Ethiopia ni kama nyumba mbili ambako kila nyumba inakula pakiti kilo moja ya ugali, kila siku. Lakini nyumba ya kwanza ina watoto watano na ya pili ina watoto kumi. Ni nyumba gani ambako watoto watashiba na ni gani ambako watoto watalala na kuamka usiku kwa sababu ya njaa. Saa zingine economics ni simple hivyo.
Kichwa yako iko vizuri. Wakupe Windhock ya baridi
 
Naona baada ya kuchoka kutumia kiswahili chako kibovu kueneza ukabila wako sasa umeamua kuingia kwenye zile nyanja zenu. Uchafu huo wengine wetu hatuupigiagi promo za kipuuzi. Pussy juice is so sweet! 😀
Huna malinda hapo ulipo. Nauwakika unatembea na gunzi yasikushuke
 
Back
Top Bottom