Ethiopia overtakes Kenya as economic giant of East Africa

Ethiopia overtakes Kenya as economic giant of East Africa

Haya maukubwa ya kiuchumi kimaisha yanasaidia nini?Ethiopia kila siku mnakamatwa wahamiaji haramu na kufungwa miezi 6 sita.Kenya mmejazana huku bongo kila mahali mpaka tunakosa pa kupita.Nigeria wanadai uchumi wao mkubwa barani Africa lakini bado wamejazana S.Africa.Ingekuwa huo ukubwa wa uchumi unawanufaisha si mngebaki kwenye manchi yenu huko?
Watanzania wamejaa Kenya wengi wakiwa omba omba kwenye streets za miji.
 
Watanzania wamejaa Kenya wengi wakiwa omba omba kwenye streets za miji.
Si kweli wakenya wamejaa bongo sana na suruali zao km za chakubanga na makobazi.Sijui kuwa Giant kiuchumi kuna mantic yeyote!
 
Si kweli wakenya wamejaa bongo sana na suruali zao km za chakubanga na makobazi.Sijui kuwa Giant kiuchumi kuna mantic yeyote!
Punguza hasira kwa kuwakujia omba omba wenu wanajaza barabara za Kenya na vijibakuli...saidia saidia ndio wimbo wao kama vile JPM anatembeza kibakuli SA kwa Zuma akiomba misaada eti SGR...ni lini mtaajiamini kukataa vya bure?
 
Punguza hasira kwa kuwakujia omba omba wenu wanajaza barabara za Kenya na vijibakuli...saidia saidia ndio wimbo wao kama vile JPM anatembeza kibakuli SA kwa Zuma akiomba misaada eti SGR...ni lini mtaajiamini kukataa vya bure?
Inakaa haujaishi Nairobi sana. Hao omba omba wako biashara, They are brought from TZ by crocked kenyan businessmen who house and feed them and collect their daily earnings.
Ukiona omba omba wa Kutoka TZ, actually ni Mkikuyu anafanya hio biashara
 
Inakaa haujaishi Nairobi sana. Hao omba omba wako biashara, They are brought from TZ by crocked kenyan businessmen who house and feed them and collect their daily earnings.
Ukiona omba omba wa Kutoka TZ, actually ni Mkikuyu anafanya hio biashara

Sasa hivi wataka kuniambia mtu mwenye afya bora, lishe bora na mandhari bora anaweza tolewa nchi yake kuja nchi jirani awe ombaomba? Malizeni umaskini nchi yenu ombaomba wapungue.
 
Inakaa haujaishi Nairobi sana. Hao omba omba wako biashara, They are brought from TZ by crocked kenyan businessmen who house and feed them and collect their daily earnings.
Ukiona omba omba wa Kutoka TZ, actually ni Mkikuyu anafanya hio biashara
Wanatoka Tz juu ya umaskini babaa juu Kenya hela ipo.
 
Sasa hivi wataka kuniambia mtu mwenye afya bora, lishe bora na mandhari bora anaweza tolewa nchi yake kuja nchi jirani awe ombaomba? Malizeni umaskini nchi yenu ombaomba wapungue.
Wanatoka Tz juu ya umaskini babaa juu Kenya hela ipo.
Hamuelewi hii biashara ya omba omba hapa nairobi? There was even a TV exposè on the human trafficking happening and the millions of ksh they earn per day. TZ people are promised good jobs in kenya only to be told to go to the streets and beg on behalf of their mostly kikuyu businessmen.
Wìra nì wìra, yùmbùkaga nakìria ìmeretie.
 
Punguza hasira kwa kuwakujia omba omba wenu wanajaza barabara za Kenya na vijibakuli...saidia saidia ndio wimbo wao kama vile JPM anatembeza kibakuli SA kwa Zuma akiomba misaada eti SGR...ni lini mtaajiamini kukataa vya bure?
Wakenya mlivyo na ukabila wenyewe kwa wenyewe sembuse mruhusu watu wa Taifa jingine waje huko?
 
Hamuelewi hii biashara ya omba omba hapa nairobi? There was even a TV exposè on the human trafficking happening and the millions of ksh they earn per day. TZ people are promised good jobs in kenya only to be told to go to the streets and beg on behalf of their mostly kikuyu businessmen.
Wìra nì wìra, yùmbùkaga nakìria ìmeretie.
Tanzanians are easily duped due to the high prevalence of poverty. Kenya is a haven to Tanzanians as South Africa is to Zimbabweans. Have you ever heard immigrants running or being trafficked into Tanzania in a promise to get a better life??
 
Tanzanians are easily duped due to the high prevalence of poverty. Kenya is a haven to Tanzanians as South Africa is to Zimbabweans. Have you ever heard immigrants running or being trafficked into Tanzania in a promise to get a better life??
Tatizo ni nini mkuu au niwapeleke hawa ndugu zako migration huku manake Mimi natumia ubinadamu kuwasitiri manake wanaishi na kufanya kazi bila vibali.Watu wengine hatujazaliwa na roho mbaya nawachukulia poa tu.Sisi tuna ardhi kubwa sana yenye kila kitu;Ardhi yenye rutuba,mvua za kutosha,maziwa,mabwawa,bahari ,mito,madini;dhahabu,Tanzanite(yapatikana Tz only),Almasi,mbuga za wanyama;Serengeti,ngorongoro,mikumu,selous,tarangire,milima:Kilimanjaro(Ingawa kila siku mnadanganya dunia uko kwenu),na maliasili nyingine nyingi.Hata mkija Kenya yote pamoja na raisi wenu bado hamuwezi kumaliza chochote,
 
Tanzanians are easily duped due to the high prevalence of poverty. Kenya is a haven to Tanzanians as South Africa is to Zimbabweans. Have you ever heard immigrants running or being trafficked into Tanzania in a promise to get a better life??
The reason Shrewed kikuyu business men traffic tanzanians is because Wa TZ are polite and non confrotational. Other wise, Somalis and Ethiopians are much more poorer and could be better fodder for the shrewed Mùgìkùyù
 
Tatizo ni nini mkuu au niwapeleke hawa ndugu zako migration huku manake Mimi natumia ubinadamu kuwasitiri manake wanaishi na kufanya kazi bila vibali.
Tofauti ya hawa ni kuwa wapo kazini wakila jasho lao. Wenu omba omba ni kuzungusha vibakuli na kuwalaghai watu.
 
The reason Shrewed kikuyu business men traffic tanzanians is because Wa TZ are polite and non confrotational. Other wise, Somalis and Ethiopians are much more poorer and could be better fodder for the shrewed Mùgìkùyù
So they(Tz) are loyal like puppies and can be easily persuaded to dehumanize themselves?
 
Inaitwa lack of equal income distribution. Tanzania si ati nyinyi ni wazuri sana. Nyerere alikuwa mwerevu akaleta ujamaa system. Shida ya ujamaa ni eti haikuleta maendeleo mengi ya kiuchumi T.z. Hata hivyo, uzuri wa ujamaa ni eti, ilizuia makurutu ,mabepari na cartels kujitajirisha, huku watu wengi wakibaki masikini. Lakini Tanzania mumeamua kufuata mfumo wa ubepari. Hivi karibuni kutakuwa na Watanzania wachache matajiri na watu wengi masikini.
1 billionaire na 60 million poor Tanzanian.
 
Hii nchi,itakuja kuwa na kama china,urusi,
Inaonekana ni nchi yenye mashirika ya umma,yanayofanya vzr,imeweza kufanya mega projects,ambazo hapa kwetu tunajengewa na wchina,waturuki,
Kuna siku itazipiku SA,na itaanza kutoa misaada kwa vinchi vingine,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi,itakuja kuwa na kama china,urusi,
Inaonekana ni nchi yenye mashirika ya umma,yanayofanya vzr,imeweza kufanya mega projects,ambazo hapa kwetu tunajengewa na wchina,waturuki,
Kuna siku itazipiku SA,na itaanza kutoa misaada kwa vinchi vingine,

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] amka usikojoe kwa kitanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom