ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
wewe ni Jinga lingine la kanda ya ziwa....na nyie sukuma Gang bado moto unafukuta...mmetutesa sana nyie!Unatumia tu akili bila ushabiki kwaba ni kweli JPM alikua mtu wa haki,hakupenda mali za waTanzania ziende hovyo na alidili na wananchi wanaounga mkono udhalimu wa mabeberu, hao ndiyo wanaoaminisha kwamba JPM hakua mtu wa haki kwa sababu walibanwa,walikua wanaiuza nchi na waliokua wanafaya biashara walikua wakipora kodi ya serikali
Watu msiwe mnaishia ushabiki tu bila kufikiri kwa makini
Rais anakufa kama mwananchi masikini wa kawaida ulisha ona wapi
Nadhanu sababu moja ni kuwa kipindi hicho sehemu kubwa ya jeshi ilikuwa inashikwa na maofisa wa kitigray. Baada ya kutoka au tuseme kuwa purged kumetokea ombwe la weledi. Lakini bila shaka kuna sababu nyingi.Enzi za Meles Zenawi, Ethiopia ilikuwa moja ya taifa lenye nguvu kubwa kijeshi kwenye ukanda wa pembe ya Africa na Africa kwa ujumla, kama mnakumbuka kuna kipindi serikali ya Zenawi (kwa ushawishi wa Marekani) ilituma majeshi yake huko Somalia kuuangusha makundi ya wapiganaji wa kiislamu waliounda mahakama za kidini kuendesha nchi.
Cha ajabu baada ya vita na Tplf jeshi hilo linaonekana ni dhaifu sana, sasa ule uwezo wao umekwenda wapi?
Bado unaishi zama zile zile zinduka sasa we bwa mdogo.Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
Tuache masihara jamani.
Hivi Magufuli alikuwa mtu wa haki?
Ni nani alimuondoa Magufuli madarakani?
Ni tatizo lake la moyo au Covid au njama za mabeberu?
Tufanye Mbowe ndie mtu wa haki.
Acha ukuda aisee,jiwe alikua na roho mbya Tena Ile kishenzi lkn upuuzi wake usihusishwe na wasukuma.Nchi hii hakuna kabila lenye watu wema,wakarimu na waastarabu Kama wasukuma.wewe ni Jinga lingine la kanda ya ziwa....na nyie sukuma Gang bado moto unafukuta...mmetutesa sana nyie!
Katili tu yule jamaa,full mkabila.Alikua anaenda kuligawa hili Taifa kikabila.Mungu Ni fundi.Kama una akili au mchunguzi utajua!! Ni swala la muda !! Itakuja kujulikana
Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.Nadhanu sababu moja ni kuwa kipindi hicho sehemu kubwa ya jeshi ilikuwa inashikwa na maofisa wa kitigray. Baada ya kutoka au tuseme kuwa purged kumetokea ombwe la weledi. Lakini bila shaka kuna sababu nyingi.
Rais wa Ethiopia yupo kimya kabisa, sijajua kwanini hasemi chochote.Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.
Mshenzi sana yule jamaa
Erdogan alifanya haya pia baada ya jaribio la mapinduzi lilofeli.Abiy Ni mpuuzi Sana kawatoa jeshini Watigray kibao,kawatoa kwny kazi za serikalini Watigray,kulikua na wanajeshi wa Ethiopia waliokua Kule Darfur wakaitwa na serikali yao kurudi kwao Ethiopia wakakataa na waliotakiwa kurudi walikua Ni Watigray tu.Abiy Ali demand mpk yule boss wa WHO ambae ni mtigray apigwe chini UN ikakataa.
Mshenzi sana yule jamaa
Ile Ni ceremonial post tu mkuu.Hana nguvu ya maana yule mama.Rais wa Ethiopia yupo kimya kabisa, sijajua kwanini hasemi chochote.
Sasa hawa Watigray wakifika Addis Ababa huo Urais atabaki nao?Ile Ni ceremonial post tu mkuu.Hana nguvu ya maana yule mama.
Timing ilikua Ina matter sana, sometimes zile story za mapinduzi ya Erdogan naonaga Kama ilipangwa tu ili aweze kuitimiza azma yake ya panga pangua.Erdogan alifanya haya pia baada ya jaribio la mapinduzi lilofeli.
68% ya Wanajeshi wa Ethiopia Tena wale HIGH PROPHILES Ni Kutoka Tigray. Kwahiyo wakati wa Zenawi Tigray ilikuwa Mstari wa Mbele huko Somalia ndio maana wanaogopwa na ALSHABAB hao jamaa.Enzi za Meles Zenawi, Ethiopia ilikuwa moja ya taifa lenye nguvu kubwa kijeshi kwenye ukanda wa pembe ya Africa na Africa kwa ujumla, kama mnakumbuka kuna kipindi serikali ya Zenawi (kwa ushawishi wa Marekani) ilituma majeshi yake huko Somalia kuuangusha makundi ya wapiganaji wa kiislamu waliounda mahakama za kidini kuendesha nchi.
Cha ajabu baada ya vita na Tplf jeshi hilo linaonekana ni dhaifu sana, sasa ule uwezo wao umekwenda wapi?
MeresZenaw naye Ni (mtigrinya) tigray hata uundajinwa jeshi makamanda wengi hasa majenerali walikuwa wakabila lakeEnzi za Meles Zenawi, Ethiopia ilikuwa moja ya taifa lenye nguvu kubwa kijeshi kwenye ukanda wa pembe ya Africa na Africa kwa ujumla, kama mnakumbuka kuna kipindi serikali ya Zenawi (kwa ushawishi wa Marekani) ilituma majeshi yake huko Somalia kuuangusha makundi ya wapiganaji wa kiislamu waliounda mahakama za kidini kuendesha nchi.
Cha ajabu baada ya vita na Tplf jeshi hilo linaonekana ni dhaifu sana, sasa ule uwezo wao umekwenda wapi?
Si kila sehemu unaunga mkono...Kama ana akili...awaangukie warusi haraka. Kuna mkono wa mabeberu hapo