Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ethiopia huwa inahesabika kama taifa lenye nguvu na mojawapo la himya za kale zaidi katika bara la Africa, kinachonishangaza ni wao kukosa upenyo wa baharini kuwawezesha kuwa na bandari yao tena wakiwa karibu kabisa na bahari za Hindi na Red Sea.
Karne zote hizo wamishindwaje kumpata mnyonge hata mmoja katika ya Somalia, Somaliland, Djibouti na Eritrea wamdunde awape upenyo kufika baharini wawe na bandari yao wenyewe!
Karne zote hizo wamishindwaje kumpata mnyonge hata mmoja katika ya Somalia, Somaliland, Djibouti na Eritrea wamdunde awape upenyo kufika baharini wawe na bandari yao wenyewe!