and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Sasa ndege za KQ zinazoenda SA, Malawi, Zimbabwe, Zambia, Botswana na Rwanda zinakatiza kwenye anga letu kwa nn zinaachiwa?Hata kuruka hawatakiwi,labda watambae[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndege za KQ zinazoenda SA, Malawi, Zimbabwe, Zambia, Botswana na Rwanda zinakatiza kwenye anga letu kwa nn zinaachiwa?Hata kuruka hawatakiwi,labda watambae[emoji16]
Mapato haikuwa topic ya mazungumzoUkivuka border uingie kenya automatically unahesabika kuwa ni mtalii hata kama hujaenda kutalii [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mbona hujazungumzia mapato ya utalii!
[emoji3] Then nini maana ya mlio wako, uliposikia tumeleta watalii 700!Mapato haikuwa topic ya mazungumzo
ATCL haipo kazi?Idadi Kwakwel cna ila ndege za Qatar na Ethiopia zinatua kila cku
ATCL haipo kazi?
Inamatatizo ya kupoteza kumbu kumbu ? , Au ndio njaa inakusumbua. Mada watalii ukauliza je Zanzibar wangapi ndio nikakwambia idadi maalum cna ila ndege za QATAR na ETHIOPIA kila cku ckuhizi zinatua tofauti na zaman inapita wiki ndege ya kimataifa hujaiona ,sasa wewe unasema ATCL kama tukizungumzia na ndege za ndani kibao tuATCL haipo kazi?
Mbona hukulipa ATCL? Ina maana unaiamini KQ kuliko gongo la konyagi ATCL 😂😂Nauli zetu tulishalipa KQ inakuwaje? Macharia alisema ameshamalizana na waziri wa Bongo..mbona chombo hairuki?
Nilifikiri ATCL ni international ama bado mkulima anawatisha 😂😂😂Inamatatizo ya kupoteza kumbu kumbu ? , Au ndio njaa inakusumbua. Mada watalii ukauliza je Zanzibar wangapi ndio nikakwambia idadi maalum cna ila ndege za QATAR na ETHIOPIA kila cku ckuhizi zinatua tofauti na zaman inapita wiki ndege ya kimataifa hujaiona ,sasa wewe unasema ATCL kama tukizungumzia na ndege za ndani kibao tu
Usihamishe mada, mada kuu iliyoko mezani watalii sasa kama umeshindwa huku unatakiwa useme tuachane na habari hiyo tujadili ATCL unayotaka lakini habali ya kuchangana mada hapa usilete ,mada TANZANIA hamna korona watalii wazidi kumiminika mulikua munatuombea mabaya wazi wazi kupitia vyombo vyenu vya habari ,na mpaka leo hii ninyi munasema TANZANIA tunajifia kama kuku Kwa korona mabwana zenu wanasema hamna korona TANZANIA sasa hapa ndio mulipo umbuka na chuki zenu sasa hivi Watanzania adui wetu tushamjua maana mulikua mmejificha kama wema sasa ngoja muisome nambaMbona hukulipa ATCL? Ina maana unaiamini KQ kuliko gongo la konyagi ATCL [emoji23][emoji23]
Nilifikiri ATCL ni international ama bado mkulima anawatisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hukulipa ATCL? Ina maana unaiamini KQ kuliko gongo la konyagi ATCL 😂😂
Nilifikiri ATCL ni international ama bado mkulima anawatisha 😂😂😂
Iko na Dar - Jorburg' ?Tatizo ATCL haina route ya DAR -NBO, ndio maana nikakata tiketi ya KQ. Tuliambiwa within 24hrs tutasafiri bila shida..sasa nashangaa siku zinaenda tu na nauli zetu haturuidishiwi inakuwaje?
ATCL iko na route ya Dar- Bole, Ethiopia?Usihamishe mada, mada kuu iliyoko mezani watalii sasa kama umeshindwa huku unatakiwa useme tuachane na habari hiyo tujadili ATCL unayotaka lakini habali ya kuchangana mada hapa usilete ,mada TANZANIA hamna korona watalii wazidi kumiminika mulikua munatuombea mabaya wazi wazi kupitia vyombo vyenu vya habari ,na mpaka leo hii ninyi munasema TANZANIA tunajifia kama kuku Kwa korona mabwana zenu wanasema hamna korona TANZANIA sasa hapa ndio mulipo umbuka na chuki zenu sasa hivi Watanzania adui wetu tushamjua maana mulikua mmejificha kama wema sasa ngoja muisome namba
Shirika moja tu 700 sasa utapiga hesabu weweIko na Dar - Jorburg' ?
ATCL iko na route ya Dar- Bole, Ethiopia?
Iko na Dar - Jorburg' ?
ATCL iko na route ya Dar- Bole, Ethiopia?
Macharia bado anaisoma namba 😁Nauli zetu tulishalipa KQ inakuwaje? Macharia alisema ameshamalizana na waziri wa Bongo..mbona chombo hairuki?
MK 254 kazi yake kufurahia mabeberu wa kizungu wachache wanaomiliki sehemu kubwa ya ardhi na viwanda vya kenya. Kuna waafrika wachache pia wanaomiliki ardhi na viwanda huko. Wakenya walikuwa wanaota ndoto za mchana kuwa chini ya jumuiya ya East Africa wataweza kujaTanzania na kumiliki ardhi!! Tukasema nooooo!!!!!MK254 njoo unaitwa huku!!
Kenya Kuna Corona kibao watalii hawawezi kuja huko!! Kenya ni ya Saba hapa Afrika kwa kuwa na wagonjwa wengi wa covid 19! Halafu bila aibu inazuia ndege za Tz kutua Kenya!! Nani asiyejua kuwa kitovu Cha Corona East Africa Ni Kenya??Sielewi mbwembwe zote hizi ni za nini. Kelele zote hizi kisa watalii 700 tu? [emoji1] Point ni kwamba watalii wametua kwa mara ya kwanza Tz? Au mnataka kutuaminisha kwamba watalii wakija Tz itawazuia watalii kuja Kenya, UG, Rw au nchi yeyote nyingine? 😕