Ethiopian Airlines, Gulfstream, Crystal, Qatar Airways na KLM zashusha Watalii zaidi ya 700 KIA ndani ya Masaa 24

Ethiopian Airlines, Gulfstream, Crystal, Qatar Airways na KLM zashusha Watalii zaidi ya 700 KIA ndani ya Masaa 24

Kenya Kuna Corona kibao watalii hawawezi kuja huko!! Kenya ni ya Saba hapa Afrika kwa kuwa na wagonjwa wengi wa covid 19! Halafu bila aibu inazuia ndege za Tz kutua Kenya!! Nani asiyejua kuwa kitovu Cha Corona East Africa Ni Kenya??
Na hawataenda kweli, ndege zimeshaswitch Airports kwa hiyo connecting Airport sio JKIA tena ni Either Bole, Kigali au kuja Straight JNIA au KIA
 
Hii mihemko look at yourself first born under communist party of CCM and yet o desire for change since you have been convinced development is more of infrastructure than for the persons
Chadema na mangekimambi Baba mmoja mama mmoja, hawaongelei kabisa habari nzuri wao wanazipamba habari mbaya tu, chadema walikuja na ushauri wao kuhusu Corona eti pesa zinazojenga mradi wa umeme rufiji zipunguzwe zitumike kupambana na korona, mtihani kweli tumshukuru mungu hii nchi ingekuwa mikononi mwa chadema cjui tungekuwa tuna hali gani Sisi !! Hii Corona ndio nimejifunza kumbe bora ibaki hiyo CCM kasoro tulikua tunaona haifai.
 
Back
Top Bottom