Tetesi: Eti, Diamond ana-date na Poshy Queen, ingawa mahusiano yao hayapo official huku mtandaoni

Tetesi: Eti, Diamond ana-date na Poshy Queen, ingawa mahusiano yao hayapo official huku mtandaoni

Duh! Ila kweli Diamond ni simba, habari za chini ya carpet inasadikika kuwa Diamond alimla Poshy Queen. Aise! Kama hizi habari ni kweli basi Diamond kanishinda tabia.

Huyu Diamond, yaani wadada wazuri wa mjini wote wake, dooh!
Mkuu ukiwa na pesa wanawake Wanakuja wenyewe.. Wala hana USIMBA wa hivyo....simba ni yule anawachapa na hana kitu.....sasa unahonga milioni kuna Dada atakataa?
 
My bebe[emoji3531]
Mrembo yangu ya mbeya huko.
About kutoka na diamond sikuwahi sikia ati.. maybeView attachment 1488986
It%20was%20a%20beautiful%20place%20where%20I%20can%20get%20time%20to%20talk%20about%20it-%20%4...jpg
 
Machangudoa hawakatai ila mwanamke anaejua thamani yake sio rahisi kurubuniwa na pesa
Hyo mwanamke anayekataa mamilioni hayupo dunia ya Leo,, especially kwetu Africa.... Tusijidanganye ,,,uchawi wa mwanamke ni pesa ,,,,hakuna tunguli,,,kama unajiona unapendwa kweli kuwa broke halafu utuletee marejesho....bado unapendwa na wangapi
 
Ingekua hivo mabikionea wasingesalitiwa

Pesa hata mimi naweza kuzitafuta broo
Hyo mwanamke anayekataa mamilioni hayupo dunia ya Leo,, especially kwetu Africa.... Tusijidanganye ,,,uchawi wa mwanamke ni pesa ,,,,hakuna tunguli,,,kama unajiona unapendwa kweli kuwa broke halafu utuletee marejesho....bado unapendwa na wangapi
 
Back
Top Bottom