Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Hivi hawa ndio elimu ilikuwa bure unaenda mikono mitupu inakutana karamu na daftari tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa, ndugu tuonee huruma japo kidogo..Huyo anajua kula mbunye tuu sidhan atakama anajua mke wake anaingiaga mwezin maana sio kwa kuchanganyikiwa huko
Mkolomije ukusikia kwenda bugando?Huyu ni mtu wa Kigoma bila shaka maana cheki hicho kiswahili..
Hahaha basi wakolomije na watu wabush wote wanaongea kwa lafudhi moja mfano "amna" "hamna" badala ya hapana yani ukizungumza na mtu ukianza kusikia anatumia hamna badala ya hapana au anaitika zaidi kwa gestures jua hapo hakuna shuleMkolomije ukusikia kwenda bugando?
Mkuu hahah mtu kama huy unaishia kumcheka na kumhurumia kwa wakat mmojaHahahaa, ndugu tuonee huruma japo kidogo..
Dah! Hii nchi ngumu sana..[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hahah mtu kama huy unaishia kumcheka na kumhurumia kwa wakat mmoja
Afafanue nini? Kura haihitaji knowledge! Zinahitaji uzoefu tu,jumlisha tisheti na kanga za rushwaFafanua kidogo!!
Ni ule mwaka aliomzaa mtoto wake wa tanoHiyo 2021 inayotajwa sijui ni ipi??
Kuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika.
Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha kwamba CCM inaungwa mkono na watu wasio na elimu sikuelewa. Lakini video hii imenifanya nielewe ni kwa nini CCM inaungwa mkono na watu wa aina hiyo.
Hawa wanaoonekana kwenye video hii kwa Umri walio nao bila ya shaka ni wapiga kura tarajali kwenye uchaguzi wa 2020, ni AIBU ILIOJE!
View attachment 1111592
[/QUOTE
Wapi praise team "MATAGA" waje kutetea ubora wa elimu yao
Usiseme ati amechanganyikiwa. Angalia vaa yao, angalia tabasamu yao. Nadhani wanamuunga mkono rais wetu aliyetuhimiza tuzae yeye atawasomesha bureee. Nyiye ficheni mbegu zenu mkidhani kuwa ndio kazi mliotumwa ulimwenguni humu. Bwana akasema; Zaeni muongezeke. Hakusema mhesabu miaka ya watoto wala idadi. Ndo maana hata huyo mama aliyezaa kajui ameshazaa mara ngapi. Bwana anakumbuka watano ila mama aliyeibeba mimba hakumbuki ni ngapi. Kweli tunahitaji msaada wa kimataifaHuyo anajua kula mbunye tuu sidhan atakama anajua mke wake anaingiaga mwezin maana sio kwa kuchanganyikiwa huko
Msukuma pure!! Kuna na mwenzake pia!Huyu ni mtu wa Kigoma bila shaka maana cheki hicho kiswahili..