Eti hawa ni wapiga kura 2020, nimesikitika sana!

Eti hawa ni wapiga kura 2020, nimesikitika sana!

Usicheke ndugu yangu!!
Itatuchukua vizazi vitano mpaka haya mazalia ya ujinga wa CCM yaishe. Nyerere alikuwa mtu mkali ila alitupa elimu ambayo ilitusaidia. Alipofanya makosa ya kutaifisha shule za makanisa tukaanza ujinga na ukaanza kuenea ndo baadaye akaleta UPE ikavuruga kila kitu. Wenzake wakaja na mitaala ya ajabu kama ya Mungai aliyevuruga wizara. Wakaja na shule za kata za Kayumba na tunaona vinavyoyumba.
 
Kuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika.

Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha kwamba CCM inaungwa mkono na watu wasio na elimu sikuelewa. Lakini video hii imenifanya nielewe ni kwa nini CCM inaungwa mkono na watu wa aina hiyo.

Hawa wanaoonekana kwenye video hii kwa Umri walio nao bila ya shaka ni wapiga kura tarajali kwenye uchaguzi wa 2020, ni AIBU ILIOJE!

View attachment 1111592
Ndege na SGR ni muhimu sana kuliko elimu ya hawa watu na watoto wao,sasa hiyo reli na ndege zitasafirisha nini wakati wanaojengewa na kuletewa dreamliner ndio hawa-anaejua jibu la swali hilo ni Magufuli tu
 
Shida kubwa mlionayo bawacha na viongozi wenu ni dharau na ujuaji mwingi bila kusahau midomo mirefu na ndio maana mnaendelea kuwa wapinzani wa kudumu..... ukweli ni kwamba CCM itaendelea kupata kura nyingi kwakuwa asilimia kubwa ya watanzania wako hivyo na wengine ni dada zenu na mama zenu.
Maana kama kweli nyie mtaji wenu ni wasomi mbona matokeo ya kila uchaguzi hayaoneshi kuwa wasomi wana wapenda....

Endeleeni na dharau....
Upuuzi mtupu
tapatalk_1554549593503.jpeg
 
Inasikitisha na kuumiza sana!
Kwangu lililonisikitisha na kuniumiza ni kwamba tuna watu wakitazama video kama hiyo wanaishia kucheka. Naamini mtu anayecheka ujinga wake ni maradufu tena ujinga wake ni wa hatari kwa taifa kuliko hata hao anaowacheka. Hao ndio mtaji wa CCM katika uchaguzi.
 
Hii video ni tamthilia/mchezo wa kuigiza au ni hali halisi?
Siyo Tamthiliya wala mchezo wa kuigiza ndugu yangu huo ni uhalisia na kama anavyosema Mag3 hilo siyo jambo la kucheka hata kidogo bali ni kitu cha kututafakarisha na kusababisha tuchuke hatua dhidi ya hali hiyo!!
 
Shida kubwa mlionayo bawacha na viongozi wenu ni dharau na ujuaji mwingi bila kusahau midomo mirefu na ndio maana mnaendelea kuwa wapinzani wa kudumu..... ukweli ni kwamba CCM itaendelea kupata kura nyingi kwakuwa asilimia kubwa ya watanzania wako hivyo na wengine ni dada zenu na mama zenu.
Maana kama kweli nyie mtaji wenu ni wasomi mbona matokeo ya kila uchaguzi hayaoneshi kuwa wasomi wana wapenda....

Endeleeni na dharau....

Mzee hapa sio suala la dharau. Hali hii kiukweli inasikitisha sana, hii inaonyesha ni jinsi gani kama taifa tuna safari ndefu sana
 
.
...hawa ndio eti wanaletewa bombadia sijui na tulen za umeme kwakweli ccm imedumaza fikra za wananchi watu wamekua kama misukule mtu kama huyu umwambia fisadi la kijani limeiba bilion 2 atakuelewa kweli! Bora ata uyu uko vijijini wapo watu hawajawai kupanda gari mpaka wamezeeka...nenda kisiwa cha irugwa au kulazu wilayani ukerewe utashangaa maajabu ya dunia baba mtu mzima yuko na watoto ajui lami ni kitu gani
haaaa haaaaa Leo nmecheka Hadi machozi upinzani kwenda kijijini ni kupoteza pesa
 
Oh my goodness. Jamani jamani tunashida yaani. Na changamoto kubwa ni kwamba hawa ulizwi wana malengo gani na watoto hawo. Maendeleo gani haya jamani. Ndugu zake wa mjini wata koma kweli
 
3:04 Baba anapotoa kicheko cha kujiamini daah! Nimecheka sana

Sasa hebu fikiria hiyo familia ipewe Khanga moja kofia mbili na tishet za kijani mbili saa kumi ya usiku wanajipanga kwenye msitari wa Kura.
Sasa mtu kama huyo apewe ofisi ya juu ya serikali si lazima watu wapotee kama mbuzi
 
Back
Top Bottom