Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Hongera zao ccm chama cha kijani kwa kuelimisha taifa elimu bure kila kona ya nchi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mtu wa Kigoma bila shaka maana cheki hicho kiswahili..
...hawa ndio eti wanaletewa bombadia sijui na tulen za umeme kwakweli ccm imedumaza fikra za wananchi watu wamekua kama misukule mtu kama huyu umwambia fisadi la kijani limeiba bilion 2 atakuelewa kweli! Bora ata uyu uko vijijini wapo watu hawajawai kupanda gari mpaka wamezeeka...nenda kisiwa cha irugwa au kulazu wilayani ukerewe utashangaa maajabu ya dunia baba mtu mzima yuko na watoto ajui lami ni kitu ganiZama zimebadilika aisee hii nchi Bado tunasafari ndefu
Hapo ndipo usipotakiwa kushangaa ile hesabu ya "...ajira elfu arobaini na sita na laki..." HAYO NDIO MAZAO NA MATUNDA YA CCM - UJINGA SI ADUI WA TAIFAKuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika.
Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha kwamba CCM inaungwa mkono na watu wasio na elimu sikuelewa. Lakini video hii imenifanya nielewe ni kwa nini CCM inaungwa mkono na watu wa aina hiyo.
Hawa wanaoonekana kwenye video hii kwa Umri walio nao bila ya shaka ni wapiga kura tarajali kwenye uchaguzi wa 2020, ni AIBU ILIOJE!
View attachment 1111592
Tatizo ni CCM + Mwenge.
...hawa ndio eti wanaletewa bombadia sijui na tulen za umeme kwakweli ccm imedumaza fikra za wananchi watu wamekua kama misukule mtu kama huyu umwambia fisadi la kijani limeiba bilion 2 atakuelewa kweli! Bora ata uyu uko vijijini wapo watu hawajawai kupanda gari mpaka wamezeeka...nenda kisiwa cha irugwa au kulazu wilayani ukerewe utashangaa maajabu ya dunia baba mtu mzima yuko na watoto ajui lami ni kitu gani
....si leteni tume huru ya uchaguzi muone mziki wa upinzani ccm bila kubebwa haiwezi kushinda ata udiwani..kwasasa kampeni vyama vingine mmevikataza ila ninyi mnazunguka kutwa nzima kufanya kampeni bado ukitokea uchaguzi mdogo mnaogopa mpaka mnatengeneza matukio feki ionekane upinzani haukubaliki. Nakuagiza kawashauli wenzako mwisho wa mabavu umekalibia wajiandae kutafuta kazi zingine 2020Shida kubwa mlionayo bawacha na viongozi wenu ni dharau na ujuaji mwingi bila kusahau midomo mirefu na ndio maana mnaendelea kuwa wapinzani wa kudumu..... ukweli ni kwamba CCM itaendelea kupata kura nyingi kwakuwa asilimia kubwa ya watanzania wako hivyo na wengine ni dada zenu na mama zenu.
Maana kama kweli nyie mtaji wenu ni wasomi mbona matokeo ya kila uchaguzi hayaoneshi kuwa wasomi wana wapenda....
Endeleeni na dharau....
Kuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika.
Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha kwamba CCM inaungwa mkono na watu wasio na elimu sikuelewa. Lakini video hii imenifanya nielewe ni kwa nini CCM inaungwa mkono na watu wa aina hiyo.
Hawa wanaoonekana kwenye video hii kwa Umri walio nao bila ya shaka ni wapiga kura tarajali kwenye uchaguzi wa 2020, ni AIBU ILIOJE!
View attachment 1111592
Ruta anajidai na kutawala kumtawala mtu hohehahe una sijikiaje? Mtu unajisifu kwa kumiliki baiskeli ya mbao(miti) nawe unajifanya bora badilika ishomileleteni tume huru ya uchaguzi muone mziki wa upinzani ccm bila kubebwa haiwezi kushinda ata udiwani..kwasasa kampeni vyama vingine mmevikataza ila ninyi mnazunguka kutwa nzima kufanya kampeni bado ukitokea uchaguzi mdogo mnaogopa mpaka mnatengeneza matukio feki ionekane upinzani haukubaliki. Nakuagiza kawashauli wenzako mwisho wa mabavu umekalibia wajiandae kutafuta kazi zingine 2020
tena hao ndio ccm inasimamisha kugombea ubunge na udiwani halafu wakifika bungeni wanauliza mbona sisi hatupati vitambi serikali inatushauli tufanyeje?Hongera zao ccm chama cha kijani kwa kuelimisha taifa elimu bure kila kona ya nchi .
Hii video ni tamthilia/mchezo wa kuigiza au ni hali halisi?Kuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika.
Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha kwamba CCM inaungwa mkono na watu wasio na elimu sikuelewa. Lakini video hii imenifanya nielewe ni kwa nini CCM inaungwa mkono na watu wa aina hiyo.
Hawa wanaoonekana kwenye video hii kwa Umri walio nao bila ya shaka ni wapiga kura tarajali kwenye uchaguzi wa 2020, ni AIBU ILIOJE!
View attachment 1111592