Eti hawa ni wapiga kura 2020, nimesikitika sana!

Hivi hawa ndio elimu ilikuwa bure unaenda mikono mitupu inakutana karamu na daftari tayari
 
 
Huyo anajua kula mbunye tuu sidhan atakama anajua mke wake anaingiaga mwezin maana sio kwa kuchanganyikiwa huko
Usiseme ati amechanganyikiwa. Angalia vaa yao, angalia tabasamu yao. Nadhani wanamuunga mkono rais wetu aliyetuhimiza tuzae yeye atawasomesha bureee. Nyiye ficheni mbegu zenu mkidhani kuwa ndio kazi mliotumwa ulimwenguni humu. Bwana akasema; Zaeni muongezeke. Hakusema mhesabu miaka ya watoto wala idadi. Ndo maana hata huyo mama aliyezaa kajui ameshazaa mara ngapi. Bwana anakumbuka watano ila mama aliyeibeba mimba hakumbuki ni ngapi. Kweli tunahitaji msaada wa kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…