Eti hawa ni wapiga kura 2020, nimesikitika sana!

Mimi nimesikitishwa sana na huwa wanaocheka na kuwakejeli wasukuma. Hata huyo mwandishi wa habari naona ana tatizo kubwa kuliko hao anaowahoji, anauliza maswali katika namna ambayo hawawezi kujibu, kwa kifupi ni hawafahamu anaowauliza. Mbali na kutokuwa na formal education, hao watu Kiswahili ni shida, angepatikana mtu anayejua lugha yao kuwahoji. Na huyu aliyewahoji alikuwa na lengo gani?
Mwisho kabisa, nyie mnaobeza kuwa hawa ndio wapiga kura wa CCM, idadi ya wasiojua kusoma na kuandika ilikuwa kubwa kipindi cha harakati za uhuru na baaada ya uhuru,wamelipigania taifa kuliko nyie much know.
 
Sana Mkuu na katika population ya milioni 55 wenye ufinyu wa akili kama huyu ni more than 50%. Hivyo uwezo wa kutambua haki zao kama raia/wapiga kura hawanao kabisa. Ni rahisi sana kuwaburuza hawa.

 
Hii imenisikitisha sana natamani nifungue shule niwape elimu ya bure watu kama hawa
 
Kwa population ya type hii hata ukimleta enki na anunaki viwanda haviwezekani.
Teh teh teh teh
 
Ndo wale Wale waliokunywa uji wa mgonjwa mtu wa design hii (ambao ndio wengi=wanyonge) swala la uchaguzi na maana ya kura anayoipiga havina maana. Ni sawa na mbuzi ukimwekea not ya elfu kumi na jani la mhogo atachagua jani la mhogo.
hata hujaeleweka tatizo lako ni nini?
Kuipigia kura CCM na hiyo video vina husiana nini mwisho wa siku kura ni siri ya mtu
Na kila mtu anamchagua amtakaye
 
Na kwa dharau kama hizi ndio maana upinzani mnaangukia pua kila mara. endeleeni kuwadharau watanzania.
Kwa akili ya kawaida tu,chukulia huyo ni mama mdogo wako huko kijijini au mtoto wa kaka yako kijijini mbona aibu,msijifanye hamnazo.
 
Tuwekeeni video zingine kama hizo tupunguze stress wakuu mambo ni mengi na muda ni mchache....
#kichwakinauma.
 
Wewe endelea kuwadharau lakini ndiyo wataiwezesha CCM kushinda na wewe baki na uelewa wako. Halafu cha ajabu wewe kama kweli ni msomi umeshindwa kuwa win hao unaowaona wajinga!! Basi wewe utakuwa mjinga zaidi. Kuelimika ni kuweza kuyamudu mazingira unayoishi.
 
Sana Mkuu na katika population ya milioni 55 wenye ufinyu wa akili kama huyu ni more than 50%. Hivyo uwezo wa kutambua haki zao kama raia/wapiga kura hawanao kabisa. Ni rahisi sana kuwaburuza hawa.
Ni sawa mkuu ndio maana ccm inategemea sana wapiga kura wa vijijini akipewa kanga,na kofia hapo bado hawajaiba kura.
 
MTU masikini Na mjinga aweza hata ishukuru ccm kwamba imewaletea dengue
 
Ni sawa mkuu ndio maana ccm inategemea sana wapiga kura wa vijijini akipewa kanga,na kofia hapo bado hawajaiba kura.
Hata wao wanajua kuwainua Na kuwapa elimu Na maendeleo wajinga ni kutokuitakia mema ccm.Tilioni 15 tu zatosha kufuta ujinga Na kuwatengezea njia masikini. Lkn wako radhi kutumia hata tilioni 20 kutupa kwenye whitelephant projects kuwadanganya masikini, ndege,SGR zile ni Kwa ajili ya high class people ambao awazidi hata 20% ya population yote.Huwezi ukazuia Pesa kuzunguka Kusomesha no watu ( kuuwa private sector) then wakati huo unafanya biashara upate faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…