Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Urefu upi mmojawapo rafiki.. Kwakuwa hata kiber100 Kina kinyume chakeMwanaume ni tallest na mwanamke ni shortest kwa hali ya kawaida hivi wataishi kwa furaha au watu watawashangaa kila daily ?? Pimbi na Zena .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipo serious .
Unakuta umefall in love na kitu kirefu nisaidieni kimawazo siitaji mzahaa nataka kupata jibu ni muhimu kwenu mkiwa serious.
Urefu upi mmojawapo rafiki.. Kwakuwa hata kiber100 Kina kinyume chakeMwanaume ni tallest na mwanamke ni shortest kwa hali ya kawaida hivi wataishi kwa furaha au watu watawashangaa kila daily ?? Pimbi na Zena .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipo serious .
Unakuta umefall in love na kitu kirefu nisaidieni kimawazo siitaji mzahaa nataka kupata jibu ni muhimu kwenu mkiwa serious.
Tayari ushafall in love na talu au sio? Usije ukaja kufungua uzi wa kukemea mapemo tena maana hauchelewagiUnakuta umefall in love na kitu kirefu nisaidieni kimawazo siitaji mzahaa nataka kupata jibu ni muhimu kwenu mkiwa serious.
Virefu vingi, kwani ww da mau umemaanisha urefu upi? 😜Unakuta umefall in love na kitu kirefu
Shikamoo Kaka,Kwa Kawaida:
1. Mwanaume inabidi awe mrefu kuliko mwanamke.
2. Mwanamke inabidi awe mweupe kuliko mwanaume.
3. Mwanamke inapendeza akiwa ana kamwili zaidi kuliko mwanaume.
4. Mwanaume inabidi awe amesoma zaidi kuliko mwanamke.
5. Mwanaume inabidi awe na kipato kikubwa zaidi kuliko mwanamke.
6. Mwanaume inabidi awe na umri mkubwa kuliko mwanamke.
7. Mwanamke inabidi ampende zaidi mwanaume kuliko mwanaume anavyompenda mwanamke....
8. Mwanamke inabidi awe na sura nzuri kuliko mwanaume.
➡️➡️➡️ Lakini kwa vile hayanaga mwongozo wala fomyula, lo lote linawezekana!
Usiogope. Kama ushayavulia nguo, yakoge tu! Potelea mbali walimwengu watakavyodhani! 🚮
View attachment 2931575
Kimo mpenzi sio kuleVirefu vingi, kwani ww da mau umemaanisha urefu upi? 😜
SIo kule nikimoUrefu upi mmojawapo rafiki.. Kwakuwa hata kiber100 Kina kinyume chake
Wanaume wa Simiyu huwaambii kitu kwa mwanamke cheupe 😂😂2. Mwanamke inabidi awe mweupe kuliko mwanaume.