Eti huyu ni mke wa mtu,tena kaolewa kwa ndoa ya kanisani kabisa na watu wakakusanyika ukumbini kuhudhuria sherehe ya harusi yake.

Naibiwa nini sasa hapo kwa mfano?simpi hata mia yangu wala simgaramikii kwa lolote.
so yeye ndo analipia kila kitu kwenye mahusiano yenu? Au?

Naturally mwanaume unatakiwa ugharamikie mahusiano yako otherwise ipo shida mahali
 
We jamaa maturity yako bdo...umepewa Kaa kimya... women cheat by calculations...
 
Wewe bado unamtaka manake namba unazo na mnachati. Kama ashakua mke wa mtu mpe block kila mahali, wake za watu sumu. Unaeza fanyiwa kitu mbaya
 
Au sio mnaturingishia!
 
Utaondoka na ugonjwa, ana wengi, masikini bwana hana habari, huenda yeye hachepuki na anamuamini mke wake. Basi imeandikwa tuishi nao kwa akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…