Eti huyu ni mke wa mtu,tena kaolewa kwa ndoa ya kanisani kabisa na watu wakakusanyika ukumbini kuhudhuria sherehe ya harusi yake.

Eti huyu ni mke wa mtu,tena kaolewa kwa ndoa ya kanisani kabisa na watu wakakusanyika ukumbini kuhudhuria sherehe ya harusi yake.

Ha ha ha ha nami nilitaka niseme hivyo hivyo 😀😀
Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma 😹😹😹

Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti “Mke wangu watoto wako wananisumbua” 🤣🤣🤣
 
Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma 😹😹😹

Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti “Mke wangu watoto wako wananisumbua” 🤣🤣🤣
Duu haogopi kama simu inaweza potea akaaibika! Sijui nikukosa malezi mabovu au hawajitambui!
 
Ushaingizwa ktk mfumo jombi sasa nikipe mbinu za kuwa nao
Usimchatishe
Usimpigie
Msizungumzie chochote cha mapenz ktk simu zenu
Weka appointment (2pm 123street akifika mwamishe location
Mkoleze ×10times
Muulize shida ya ndoa yake
 
Ndoa ni utapeli hasa wanawake weusi

Huwa nashangaa MTU anaoa Mimi siwezi kuoa mbantu achilia mbali kuzaa nae .
Hao tomba tu usioe vimeo hivyo, ni mazuri yakiwa ndani we liache hapo kama pambo tu.
Yanapembezesha nyumba.
Ila utaibiwa, zulumiwa, cheating ,kwa ajili ya mtako wake mkubwa km kifaru.
Mi huwa nafukuza,
bora niwe na mjepo wangu kapigwa pasi saafi.
Mambo kubeba kilo 180 huku una kilo 65 nani anataka.
 
Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma 😹😹😹

Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti “Mke wangu watoto wako wananisumbua” 🤣🤣🤣
😁😁Hiii kali Huyo m mang'ati wa wapi😎
 
Kafanya nimekumbuka jana dada anayenisaidia kazi home nilichukua simu yake dah.!! Hizo sms za wanaume wanaomtongoza zinachekesha mbavu mpk ziliniuma 😹😹😹

Kuna mmoja kamtumia dubwasha lake halafu anamwambia eti “Mke wangu watoto wako wananisumbua” 🤣🤣🤣
Hahahaha
 
Siwez bisha aisee kunamtu namuona Yan anaendesha mahusiano nje ya ndoa km yupo single ajabu akirud kushenyentwa anampost mumew I love u my husband😄😄😄
 
Siwez bisha aisee kunamtu namuona Yan anaendesha mahusiano nje ya ndoa km yupo single ajabu akirud kushenyentwa anampost mumew I love u my husband😄😄😄
😃😃😃
Kuna msemo huwa unasema tabia njema sio kama nguo nzuri ukivaa na ukatoka nje watu watakuona umependeza lakini ukirudi ndani utaivua ile nguo na utabaki vile vile
 
Merry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.
Mabwege ndivyo hupigwa. Amekuona wewe ni bwege na anataka kuendelea kukuchuna. Au hujui mchezo? Mbona hata sisi wanaume kama tunataka kumshawishi mwanamke tulale naye tunatumia maneno kama hayo?
 
Back
Top Bottom