chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Et umenipendea nn? Ushamba mzigo mwanaume umuulize demu tena mke wa mtu umenipendea mm?? Ha 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Tang'ana wewe ndio umetongozwa?Merry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.
HahahahaaAcha kujipigia debe Jm F ww, una WhatsApp mbili unaandika huku, unajibu kule. Una screenshot una post
Dumbass
Hapa hakuna mwanaume mkuu wangu,Wanaume Huwa hatuulizi.. Kwanini unanipenda, unanipendea nn?.
Daahh umetuangusha.
Anyway huyo ni Mke Kila
Hata mm nimeshangaa,jamaa anauliza maswali ya kike sana.Wanaume Huwa hatuulizi.. Kwanini unanipenda, unanipendea nn?.
Daahh umetuangusha.
Anyway huyo ni Mke Kila MTU.
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳Ni kweli kuwa wake zetu wanawekwa sana, wamekuwa cheap kuliko singles.
Wenye nguvu ya kuwaombea muendele kufanya hivyo, huenda wakarudi kwenye mstari. Na sisi wapenda mbususu tuendelee nazo..kifupi mzidi kuziombea ndoa za sasa, zipo ICU.
Mbona mshangao sana!!😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Weupe ndo malaya sasaNdoa ni utapeli hasa wanawake weusi
Huwa nashangaa MTU anaoa Mimi siwezi kuoa mbantu achilia mbali kuzaa nae .
Hao akiishi na mkewe kila jambo analo ambiwa na mkewe lazima akamwambie mama yake, kwahiyo anakuwa baba msimuliaji mama na dadaMaswali ambayo mwanamke alitakiwa aulize, ajabu mwanaume ndo anauliza.!!😥
Eti umenipendea nini?? 😳Hao akiishi na mkewe kila jambo analo ambiwa na mkewe lazima akamwambie mama yake, kwahiyo anakuwa baba msimuliaji mama na dada