Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mpumbavu,.........kwani alianza kutumia meseji kwanza?Merry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.
Baltazar na wewe.tofauti yenu ni majinaMerry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.
Jamaa huenda ana makengeza kama ya dikteta Mbowe,so demu anampendea hayo makengeza."The way tu jinsi ulivyo " sjaelewa bado.
Hahahaha mtu mwenye makengeza sio wa kumuamini sana.Jamaa huenda ana makengeza kama ya dikteta Mbowe,so demu anampendea hayo makengeza.
Madogo huwa mnadanganyika sana. But umeuliza swali la kike. Mwanaume anauliza unanipendea nini?kizazi hiki.Merry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.
Mkuu uzulia vikao.Merry Christmas everyone out there.
Kuna mwanamke tulikutana tu somewhere mwanzo alivyojiweka me sikujua kama ni mke wa mtu coz alinificha,so nikachapa mara moja then nikaja nikagundua ni mke wa mtu me nikampotezea,sasa ni hataki kuniacha ni kwamba kaniganda sana.
Hapa chini ni conversation yangu na yeye jioni hii,yani hizi ndoa mliooana kazi mnayo kubwa sana.
Lazma umulize ujue maan anakuganda sana.Wanaume Huwa hatuulizi.. Kwanini unanipenda, unanipendea nn?.
Daahh umetuangusha.
Anyway huyo ni Mke Kila MTU.
Hivi vitoto vikishashiba pilau taabu sana.Acha kujipigia debe Jm F ww, una WhatsApp mbili unaandika huku, unajibu kule. Una screenshot una post
Dumbass