Babu mimi nilishatoa mchango wangu na msimamo wangu; japokuwa na wanaJF wanasema sisi ni wanafiki na tunajifanya! Sasa sielewi wamenijuaje kama mimi ni mnafiki na najifanya malaika! mhhh!!!! Ofcos, kila mtu anaijua nafsi yake mwenyewe!
[
Kwani waliooa na kuolewa wana muhuri kheeee kheeeee btw umejuaje..........
Aaah,Wanaumeeeeeeee,akili vichwani mwetu kusuka au kunyoa,lakini huo ndio mpango mzimaa wa mapenzi,hakuna kiapo kinachotekelezeka,viapo vyote vinakuwaga zuga tuu,kwani hata Mkulu na wenzake wakati wanakabidhiwa madaraka si waliapa?
Una matatizo ya macho? Kasema Karen LOLZ
In truth, politeness is artificial good humor; it covers the natural want of it, and ends by rendering habitual a substitute nearly equivalent to the real virtueMimi wala sijakwazika...!
Ila sasa, inaonekana ni ngumu kujua nani yuko serious na kile anaandika! Mimi nilifkiri tunakuwa wakweli katika michango yetu, lakini sijui kama ni hivyo kwa wote!!
:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Ahaaaa ahaaaaIkiwa muongo uwe na kumbukumbu uliniambia mwenyewe tena kwa mdomo wako
Umesahau niko nyuma yako nakulinda na ule mkongojo ulioninunulia?
Mhhhhhh!!!!!!!!!Umesahau niko nyuma yako nakulinda na ule mkongojo ulioninunulia?
In truth, politeness is artificial good humor; it covers the natural want of it, and ends by rendering habitual a substitute nearly equivalent to the real virtue
Umesahau niko nyuma yako nakulinda na ule mkongojo ulioninunulia?
In truth, politeness is artificial good humor; it covers the natural want of it, and ends by rendering habitual a substitute nearly equivalent to the real virtue
Hivi kweli babu..mwanaume ninayempenda ameumia amelala kitandani, hawezi! Hivi nina ujasiri gani huo kweli wa kumufanyia unyama huo! Nafsi yangu inanisuta...! Ninaamini Mungu atafanya mlango wa kutokea kwa hilo jaribu, aidha amponye mue wangu, kama haponi basi nami vya kwangu vilale usingizi, ili nisipate taabu! Ni ngumu, lakini everthing is possible with God if only believe!
Nyie madogo naona mmesahau sheria na kanuni za hii sredi...........No ofu topic iz alaud!
In truth, politeness is artificial good humor; it covers the natural want of it, and ends by rendering habitual a substitute nearly equivalent to the real virtue
Nyie madogo naona mmesahau sheria na kanuni za hii sredi...........No ofu topic iz alaud!
Saa zingine kusema ukweli kunaweza kukuponza, watu wakafikiri you are pretendingMhh TF..hebu niambie kwa kilugha cha kwetu, hii imenipita pembeni!
Hahahahahaha!
Ngoja nisepe hapa! Thread ishachakachuliwa!~