Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Mada haijatulia hata kidogo. . . Uchakachuaji mwingi mno kila kitu kimeshachakachuliwa, afu mwanzisha mada alitakiwa kumimina maukweli yake na yeye kama alishalamba hiko kiapo? Na kama alishalamba ana maoni gani? Mana issue hapa sio jinsia tena bali ni uhusika wa tukio,waliohusika ni jinsia zote na wote walishalamba hivo viapo asa swali ni je uvumilivu unawezekana kwa kila nafsi katika mazingira haya ya global village au? Kwa upeo wangu mfinyu nadhani kipengele cha "mpaka kifo kitutenganishe" kiondoke,badala yake iwe "ntakuwa mwaminifu kwako kwa msaada wa Mungu mwenyezi katika siku atakazotujaalia kuishi pamoja".
 

Shauri lako we baki kumtumzia babu hujui kabakisha cku chache za kuishu? Kamata wako kimyakimya!! watakucheka watu!
 

...naaam, hapo kwenye mila na desturi;

hii ni pamoja na zile mila za kuzalishwa/kumzalisha na kaka/dada/ndugu mtu, si ndio ee WoS?
au, kumrithisha mke au mume kwa kaka/dada/ndugu wa marehemu.
 
Shauri lako we baki kumtumzia babu hujui kabakisha cku chache za kuishu? Kamata wako kimyakimya!! watakucheka watu!

Yaani ungejua ishu BEHIND mimi kukusemelea wala usingesema yote hayo . . .
 
Babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

:horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:

Acha unoko wewe bana mambo gani tena ya kushitakiana
 

WoS, njoo 2le bia mamii 4 zis useful post
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…