SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #41
Unanitafuta eh jana nilikuacha kwa amaniKaaya huyo kutoka pande zileeeee....
Arusha National Park.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanitafuta eh jana nilikuacha kwa amaniKaaya huyo kutoka pande zileeeee....
Arusha National Park.
huwezi jua mimi ndo nikawa sugar daddy wakoUnanitafuta eh jana nilikuacha kwa amani
Kwahiyo baba cathe hujamkubalia bado?Kwanini unataka sugar daddy?
Mbona wewe ni mpambanaji unaweza kupata pesa zako mwenyewe tu!
Tafuta kijana wa umri wako mjenge familia hapo utapata uhakika wa Morning Glory za kutosha!
Ntafute uliehuwezi jua mimi ndo nikawa sugar daddy wako
Kama una miaka kati ya 20-24 nitafute ule mena ya nchiEti kuna dawa yakumpata suggar daddy??
HayaKama una miaka kati ya 20-24 nitafute ule mena ya nchi
Huy sugar babu anayo hiyo dawa...we ulidhan wa nnEh mie nataka dawa
Dawa pekee ni kuuacha ishuga mami.Eti kuna dawa yakumpata suggar daddy??
NdioKwahiyo baba cathe hujamkubalia bado?
Una akili.Ndio
Kweli kabsaKwanini unataka sugar daddy?
Mbona wewe ni mpambanaji unaweza kupata pesa zako mwenyewe tu!
Tafuta kijana wa umri wako mjenge familia hapo utapata uhakika wa Morning Glory za kutosha!
Sugar daddy anataka mnyumbulikaji, unanyumbulika??Ahaha najua style zote ila sio huku nataka suga daddy