Na kuna wale wa kulilia video calls huwa nakwazika sana. Mtu anajua fika kitu fulani hupendelei lkn anakazania tu.Wengine huuliza mbona sikuoni uki view status zangu.
Mimi na video call ni maji na mafuta, sipendiNa kuna wale wa kulilia video calls huwa nakwazika sana. Mtu anajua fika kitu fulani hupendelei lkn anakazania tu.
Madada wa kazi hao 😂Mnawatoaga wapi hao😂
Next time mchukue corporate ladies, hutakutana na hizo mambo🤣Madada wa kazi hao 😂
Tunawatoa mikoani
Ndio wawapi hao, wapoje.corporate ladies
Wapo kwenye tv, hasa taarifa ya habariNdio wawapi hao, wapoje.
Umenipanga kuna ulilomaanisha zaidiWapo kwenye tv, hasa taarifa ya habari