- Thread starter
- #101
Chama gn tenaaa[emoji15]Hivi huyu mleta mada kwa kumsoma huoni kama anafaa kuja kwenye chama chetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama gn tenaaa[emoji15]Hivi huyu mleta mada kwa kumsoma huoni kama anafaa kuja kwenye chama chetu?
[emoji40] [emoji40]Kauka basi usije kuniharibia kama kawaida yako. Hii ni siri yetu wawili tu.
tena udhalilishaji wa kijinsia....Yaaah huwezi kusema mwanaume ana matako au msambwanda huo unakuwa ni udhalilishaji
hahahhah yan we babu hivi upoje lknOk turudi kwenye yale mafuta yako. Huwa unajipaka kwenye kalio tu au mpk kwenye mfereji wa suez??
Maana kama unapaka mpk kwenye mfereji lazima utakuwa unaachia ushuzi wenye harufu nzuri kama ya sabuni Revola.
Ndio[emoji23]Kwani matako yanapakwa mafuta?
Ayo matako au??[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi sijawahi hata kuyaona kwangu....Sijui kama ninayo!
Muulize Bashite
basi ndio maana wadada mna matako malaini malainiNdio[emoji23]
HahahahaaaaaKwani hata mafuta nayo ni usaliti?? We leta kalio hilo nilipake mafuta ya nazi...
Umeshafikia retired age mkuu . ?!!Kama kawaida yangu nikutakie kheri
Kutubu niachie mimi
Hehehehe !! Msema kweli mpenzi wa Mungu me cjawah kuyapa hiyo huduma...ivi mafuta yake ndo ile K-Y Jelly?Ndio[emoji23]
Huyu hatugombanii tunashambuliaUmekubali kweli[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yaaaa that's the reason behind..[emoji23]basi ndio maana wadada mna matako malaini malaini