Eti Lady Jaydee amfuta urithi G Habash

haaa!!!! kwani alimuandika kwa penseli?
 
Jana sijaona diary ya Lady JD.

Badala yake nimeona kipindi cha Gadna G Habash..

Je Gadna kaizika rasmi Diary ya JD??
 
Swali langu hamjajibu, vikombe na grasi pamoja na vyakula ni vitu vya kumpa mtu urithi? Au lile jengo ni mali ya Jide?

Kwani we uliambiwa mali pekee anayomiliki jide ni nyumbani lounche? Acha kukalili. Kifupi Anaconda anamiliki Brand ila jengo anapanga. We unafikiri kumiliki sehemu kama ile ni kama kununua ardhi mabwepande?
 
Kwani we uliambiwa mali pekee anayomiliki jide ni nyumbani lounche? Acha kukalili. Kifupi Anaconda anamiliki Brand ila jengo anapanga. We unafikiri kumiliki sehemu kama ile ni kama kununua ardhi mabwepande?

Una hakika na usemacho ama unaropokwa??
 
Jana sijaona diary ya Lady JD.

Badala yake nimeona kipindi cha Gadna G Habash..

Je Gadna kaizika rasmi Diary ya JD??
Umeongea usicho kijua!
Ni kuanzia lini hicho kipindi kinaoneshwa alhamisi?
 
Swali langu hamjajibu, vikombe na grasi pamoja na vyakula ni vitu vya kumpa mtu urithi? Au lile jengo ni mali ya Jide?

Mali zote ni za jide, japokuwa gadner amesaidia sana jide kuzupata hizo pesa
 
Nasikia nyumban lounge imebadilishwa jina sasa ivi inaitwa sijui new mog lounge sina uhakika na jina, na wanaizindua upya tareh 30, gadner atajibeba

Mimmmmmmmmhhhhhhhhhh atajibeba na shuka,blanket,mbeleko????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…