Eti Lady Jaydee amfuta urithi G Habash

Eti Lady Jaydee amfuta urithi G Habash

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466

Attachments

  • 1413527026463.jpg
    1413527026463.jpg
    57.4 KB · Views: 2,283
Last edited by a moderator:
Jana sijaona diary ya Lady JD.

Badala yake nimeona kipindi cha Gadna G Habash..

Je Gadna kaizika rasmi Diary ya JD??
 
Swali langu hamjajibu, vikombe na grasi pamoja na vyakula ni vitu vya kumpa mtu urithi? Au lile jengo ni mali ya Jide?

Kwani we uliambiwa mali pekee anayomiliki jide ni nyumbani lounche? Acha kukalili. Kifupi Anaconda anamiliki Brand ila jengo anapanga. We unafikiri kumiliki sehemu kama ile ni kama kununua ardhi mabwepande?
 
Kwani we uliambiwa mali pekee anayomiliki jide ni nyumbani lounche? Acha kukalili. Kifupi Anaconda anamiliki Brand ila jengo anapanga. We unafikiri kumiliki sehemu kama ile ni kama kununua ardhi mabwepande?

Una hakika na usemacho ama unaropokwa??
 
Jana sijaona diary ya Lady JD.

Badala yake nimeona kipindi cha Gadna G Habash..

Je Gadna kaizika rasmi Diary ya JD??
Umeongea usicho kijua!
Ni kuanzia lini hicho kipindi kinaoneshwa alhamisi?
 
Nasikia nyumban lounge imebadilishwa jina sasa ivi inaitwa sijui new mog lounge sina uhakika na jina, na wanaizindua upya tareh 30, gadner atajibeba

Mimmmmmmmmhhhhhhhhhh atajibeba na shuka,blanket,mbeleko????
 
Back
Top Bottom