Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Oct 14, 2024 #41 Komando
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Oct 14, 2024 #42 Komandoo Binti Machozi ni kama Diamond na Ray C kama Alli Kiba tu!
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,111 Reaction score 53,092 Oct 14, 2024 #43 beefinjector said: Kabla ya machozi alitoa nyimbo kadhaa kama Tunaweza, Kamata na Maumivu. Machozi ilikuwa single kwenye albamu yake ya kwanza yenye jina hilo hilo. Click to expand... Ila hazikuwa hit songs hata yeye mwenyewe Jide anapozungumzia miaka aliyokuwa kwenye game huwa anaanzia mwaka 2000 alipotoa 'machozi'
beefinjector said: Kabla ya machozi alitoa nyimbo kadhaa kama Tunaweza, Kamata na Maumivu. Machozi ilikuwa single kwenye albamu yake ya kwanza yenye jina hilo hilo. Click to expand... Ila hazikuwa hit songs hata yeye mwenyewe Jide anapozungumzia miaka aliyokuwa kwenye game huwa anaanzia mwaka 2000 alipotoa 'machozi'
Mwambwaro JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,309 Reaction score 3,522 Oct 14, 2024 #44 Bint machoz kila kona kamzid ray c