Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
- Thread starter
- #21
Unalia nini na umeambiwa ukweli?
Fanya marekebisho
Ukweli gani mkuu! hizi ni kashfa tuu.mbona mudy alitumia mswaki wa mti na sijasikia mdomo wake ulikuwa ukinuka? Iweje mimi natumia miswaki na dawa za garama?