Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau Wasalam.

Nimeambiwa na Rafiki yangu kuwa Mkoani Morogogoro wapo samaki wakubwa sana kuliko wale wa Ziwa Victoria!
Akadai kuwa Samaki hao wanasifa zifuatazo:

(1) Wakubwa sana kuliko Sato na Sangara.
(2) Wana viini lishe vya nguvu sana.
(3) Ni watamu sana kuliko Sato na Sangara.
(4) Wanapatikana kwenye Mito na Mabwawa!

Namuheshimu sana rafiki yangu huyu ambaye ni msomi nguli na Mzalendo wa kuaminika. Lakini kwa jambo hili nimeamua kuwa Thomaso.

Na kama ni kweli anachonieleza basi samaki hao watakuwa wamekosa sifa zilizotajwa kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi.!

Naomba wadau mchangie.
 
Hao samaki wakubwa wanapatikana mtoni au milimani. Haijawahi kushuhudia sangara mwenye ukubwa kuliko kawaida.
 
Wangekuwa wakubwa wangekuwa wanaliwa pande zote?, samaki mkubwa huwezi kumla pande mbili zote
 
Muwamba ngozi huvutia kwake...

Za kumbiwa changanya na za kwako...


Cc: mahondaw
 
Inawezekana yupo sahihi ingawa sina uhakika sana,ila nachojua ni kwamba mto Kilombero wale samaki wake aina ya kitoga ni wakubwa kuliko sato na wanafanana fanana na sangara kwa ukubwa.

Kwa upande wa utamu ni kweli hao samaki aina ya kitoga si sato au sangara nayewakaribia kwa utamu
 
Naomba jicho la samaki..Anaeweza nisaidia aje inbox
 
Inawezekana yupo sahihi ingawa sina uhakika sana,ila nachojua ni kwamba mto Kilombero wale samaki wake aina ya kitoga ni wakubwa kuliko sato na wanafanana fanana na sangara kwa ukubwa.

Kwa upande wa utamu ni kweli hao samaki aina ya kitoga si sato au sangara nayewakaribia kwa utamu
Ya kweli hayo mkuu
Au wewe ndio uliempiga fix Jamaa mpaka kaja kuuliza huku
 
Inawezekana yupo sahihi ingawa sina uhakika sana,ila nachojua ni kwamba mto Kilombero wale samaki wake aina ya kitoga ni wakubwa kuliko sato na wanafanana fanana na sangara kwa ukubwa.

Kwa upande wa utamu ni kweli hao samaki aina ya kitoga si sato au sangara nayewakaribia kwa utamu
Mwezi uliopita nilikuwa Ifakara, nimekula samaki wanaitwa NDUNGU ni watamu sana
 
Back
Top Bottom