Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Morogoro ya wapi ambayo ina samaki wakubwa kuliko wale L.Victoria ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morogoro ya wapi ambayo ina samaki wakubwa kuliko wale L.Victoria ?
Unajua Hapo Msamvu Kwa Wachomoa Battery Hakuna Mito Mingi Na MikubwaUkiambiwa Morogoro siyo kule kwa wachomoa betri ni Kilombero nenda Mlimba, mito mikubwa inapita Moro.
Ya kweli hayo mkuu
Au ww ndio uliempiga fix Jamaa mpaka kaja kuuliza huku
Mwezi uliopita nilikuwa Ifakara, nimekula samaki wanaitwa NDUNGU ni watamu sana
Hili limwana lumumba halinaga akiliKama ingekuwa hivyo walugulu si wangerefuka !
Mologolo ndo wapi kwani?Mologolo ni jiji kasolo Bahali sasa hao Samaki wakubwa wanatokea wapi
Haina noma mkuuMkuu,sina shaka na taarifa niliyoitoa kabisa,hebu jaribu na wewe pia kufanya utafii kwa kuwaulizia watu wanaowafahamu hao samaki then uje kuleta mrejesho humu.
duh.... rakini lafiki wewe rire jiji kasolo bahali rinakosa samaki kweri.... mologolo jiji kasolo bahali rakini rina mito na mabwawa razima riwe na samaki.....Mologolo ni jiji kasolo Bahali sasa hao Samaki wakubwa wanatokea wapi
La chuo nakubaliana naoKama aliyekuambia ni mluguru au mkaguru usimwamini, hao watu kila kitu kwao ni kikubwa, kwa masikio yangu nimewasikia wakisema
- Mindu ndiyo bwawa kubwa kuliko yote Afrika Mashariki na Kati
- Round about ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
- Stand ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
- Mlima Uluguru ndiyo wa pili kwa urefu katika Afrika Mashariki baada ya Kilimanjaro
- Morogoro ndiyo inaongoza kuwa na vyuo vikuu vingi Tanzania
- Morogoro ndiyo inaongoza kwa kutoa wachezaji nyota Tanzania (sina uhakika)
- Na sasa Morogoro ndiyo yenye samaki wakubwa kuliko wa ziwa Victoria
- Very soon watawaingiza wahanga wa lory la mafuta kwenye records (tusubiri)
Kaka nakataa katika hili mimi nipo Ifakara hapa viwanja 60 ila naweza sema kuwa ukubwa wa kitoga huwezi ukalinganisha na ukubwa wa sangara na hata radha kwa upande wangu. Hili utaweza kubisha kama hujawahi kukaa maeneo kama mwanza, ukerewe, kinesi, kibuyi, shirati na maeneo yanayozunguka ziwa Victoria.Mkuu ukiwa ifakara ndio utaamini ni kweli alafu hawana bei nilienda kule nilishuudia