Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Ni wakubwa kweli ila sina hakika kama wanawapita sato na sangara.
 
duh.... rakini lafiki wewe rire jiji kasolo bahali rinakosa samaki kweri.... mologolo jiji kasolo bahali rakini rina mito na mabwawa razima riwe na samaki.....
Mologolo mjini?!...kama ungesema Ng'wanza angalao ningesema hapo lauda sawa.
 
Kama aliyekuambia ni mluguru au mkaguru usimwamini, hao watu kila kitu kwao ni kikubwa, kwa masikio yangu nimewasikia wakisema
  1. Mindu ndiyo bwawa kubwa kuliko yote Afrika Mashariki na Kati
  2. Round about ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
  3. Stand ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
  4. Mlima Uluguru ndiyo wa pili kwa urefu katika Afrika Mashariki baada ya Kilimanjaro
  5. Morogoro ndiyo inaongoza kuwa na vyuo vikuu vingi Tanzania
  6. Morogoro ndiyo inaongoza kwa kutoa wachezaji nyota Tanzania (sina uhakika)
  7. Na sasa Morogoro ndiyo yenye samaki wakubwa kuliko wa ziwa Victoria
  8. Very soon watawaingiza wahanga wa lory la mafuta kwenye records (tusubiri)
[emoji23][emoji23][emoji23] wameenda mbali sana kufananisha au kulinganisha vitu vyao na East Africa kwa maana East Africa ni kubwa mno bora wangesema kwa Tz.
 
Ongezea hapo, Morogoro ina viwanda vya sukari vikubwa 2 na pia kunajengwa soko kubwa na la kisasa
 
Mologolo ni jiji kasolo Bahali sasa hao Samaki wakubwa wanatokea wapi

Akuna xamaki mtamu km xato mkuu axikuanbie mtu..ayo maxamaki anayoxema yako kule ifakara mabaya km nn taxrlex balaa..ila ni machibo..boo chibonge..ukiyaangalia hb utayapenda ila hakuna kitu
 
Akuna xamaki mtamu km xato mkuu axikuanbie mtu..ayo maxamaki anayoxema yako kule ifakara mabaya km nn taxrlex balaa..ila ni machibo..boo chibonge..ukiyaangalia hb utayapenda ila hakuna kitu
Hivi visamaki vya mitoni vingi asiliake ni Perege kula Perege yataka Moyo ni sawasawa na kula dagaa mkubwa

Sato mpango mzima,ila mimi kuna kipidi nilienda kwenye Visiwa vya Sengerema kupitia sehemu inayoitwa mchangani kwa Boat nilikaa huko mwezi mzima kibiashara

Nikagundua wenyeji wa Visiwani wanakula sana Sangara na mimi nijajiunga kwenye mlolongo wa kula Sangara ebanaee uzalendo ulinishinda nikatafuta binti ili nipumzike nae nikampata binti mmoja wa Kisubi wakati huo simu za mkononi zilikuwa ni Dar tu.

Kwa maana nilikomaa nae kwa wiki mbili siku naondoka niliondoka kwa huzuni sana nikamuachia hela nikamuelekeza na mji niotoka kama kutakuwa cha ziada kama ujauzito kwa maana ilikuwa ni mtu na mtu apana kuachia😂😂

Sangara kiboko!
 
Hivi visamaki vya mitoni vingi asiliake ni Perege kula Perege yataka Moyo ni sawasawa na kula dagaa mkubwa

Sato mpango mzima,ila mimi kuna kipidi nilienda kwenye Visiwa vya Sengerema kupitia sehemu inayoitwa mchangani kwa Boat nilikaa huko mwezi mzima kibiashara

Nikagundua wenyeji wa Visiwani wanakula sana Sangara na mimi nijajiunga kwenye mlolongo wa kula Sangara ebanaee uzalendo ulinishinda nikatafuta binti ili nipumzike nae nikampata binti mmoja wa Kisubi wakati huo simu za mkononi zilikuwa ni Dar tu.

Kwa maana nilikomaa nae kwa wiki mbili siku naondoka niliondoka kwa huzuni sana nikamuachia hela nikamuelekeza na mji niotoka kama kutakuwa cha ziada kama ujauzito kwa maana ilikuwa ni mtu na mtu apana kuachia😂😂

Sangara kiboko!



🤣🤣🤣🤣kwamba pumzi ni ya mwendokasi au🤣🤣🤣!hii ndo naisikia kwako mkuu..!kwamba mtu n mtue...ulipo yupo🤦
 
Mukude hebu tuelezee haya ya Mindu kuwa Na samaki mkubwa Ni ya kweli?
 
Kama aliyekuambia ni mluguru au mkaguru usimwamini, hao watu kila kitu kwao ni kikubwa, kwa masikio yangu nimewasikia wakisema
  1. Mindu ndiyo bwawa kubwa kuliko yote Afrika Mashariki na Kati
  2. Round about ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
  3. Stand ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
  4. Mlima Uluguru ndiyo wa pili kwa urefu katika Afrika Mashariki baada ya Kilimanjaro
  5. Morogoro ndiyo inaongoza kuwa na vyuo vikuu vingi Tanzania
  6. Morogoro ndiyo inaongoza kwa kutoa wachezaji nyota Tanzania (sina uhakika)
  7. Na sasa Morogoro ndiyo yenye samaki wakubwa kuliko wa ziwa Victoria
  8. Very soon watawaingiza wahanga wa lory la mafuta kwenye records (tusubiri)


Namba 3 hata hubby ananiambiaga huo ujinga..sijji nan amewadanganya..yaan mi ccm bwana😎
 
Una mtoto visiwani sasa hivi atakuwa mkubwa kamtafte
Yule binti aliniambia wazazi wake wako Biharamulo na ndio kwao

Sasa muda mwingi sana umepita ilikuwa awamu ya tatu wakati Raisi Ben Mkapa

Ninaweza kwenda leo kumtafuta nikakuta mtoto kabambikiwa mtu mwingine

Tena pale kisiwani kulikuwa na Wakurya wengi na Wajaluo mchanganyiko na Wasukuma na Wazinza

Ila nilikiwa nikiambiwa Wakurya wengi ni wale Majambazi yaliyokuwa yamekimbia Mwanza yamekuja visiwani kwa sababu kulikuwa hakuna hata kituo cha Polisi

Sasa leo nikirudi nikute yule Binti kaolewa na na Mkurya na kambambikia mimba
Nitasambabishia Mama wa watu asanangwe na mapanga

Mimi mwenyewe niliishi kibabe tu pale Kisiwani
Ila iko Siku nitapita Bihamulo nilimdadisi sana mpaka akaniambia jina la Ukoo wake
 
kaka nakataa katika hili mimi nipo ifakara hapa viwanja 60 ila naweza sema kuwa ukubwa wa kitoga huwezi ukalinganisha na ukubwa wa sanagara na hata ladha kwa upande wangu. Hili utaweza kubisha kama hujawahi kukaa maeneo kama mwanza,ukerewe,kinesi,kibuyi,shirati na maeneo yanayozunguka ziwa viktoroa.
Kwani sangara mara nyingi sokoni inabidi akatwe vipande kisha kuuzwa kwa kilo maana mtu moja hawezi nunua labda apelekwe kiwandani.
Na ukiacha huyo kitoga hao wengine hamna kitu kama perege,ndungu,kambale. Hamna kitu.


Samaki wote wa ifakara ni tasteless...yaan km unatafuna godoro..hyo miba sasa..mimi nilishawashindwa
 
Yule binti aliniambia wazazi wake wako Biharamulo na ndio kwao

Sasa muda mwingi sana umepita ilikuwa awamu ya tatu wakati Raisi Ben Mkapa

Ninaweza kwenda leo kumtafuta nikakuta mtoto kabambikiwa mtu mwingine

Tena pale kisiwani kulikuwa na Wakurya wengi na Wajaluo mchanganyiko na Wasukuma na Wazinza

Ila nilikiwa nikiambiwa Wakurya wengi ni wale Majambazi yaliyokuwa yamekimbia Mwanza yamekuja visiwani kwa sababu kulikuwa hakuna hata kituo cha Polisi

Sasa leo nikirudi nikute yule Binti kaolewa na na Mkurya na kambambikia mimba
Nitasambabishia Mama wa watu asanangwe na mapanga

Mimi mwenyewe niliishi kibabe tu pale Kisiwani
Ila iko Siku nitapita Bihamulo nilimdadisi sana mpaka akaniambia jina la Ukoo wake


Na huenda kweli umeacha alama..duh..wanawake tuna kazi sn
 
🤣🤣🤣🤣kwamba pumzi ni ya mwendokasi au🤣🤣🤣!hii ndo naisikia kwako mkuu..!kwamba mtu n mtue...ulipo yupo🤦
Yaani ilikuwa iwe hit n run lakini yule Mtoto alihamia kwenye kambi niliyokodisha ya wavuvi

Yaani Asubui wavuvi wakileta Sangara wanapasuliwa na kupakaliwa chumvi na kuanikwa juani

Yeye nae anaenda sokoni kuhemea akirudi Ugali unapikwa tunasikiliza redio kidogo Story nyiingi tunaingia chumbani nampelekea moto halafu usiku ndio kazi kazi
 
Samaki wote wa ifakara ni tasteless...yaan km unatafuna godoro..hyo miba sasa..mimi nilishawashindwa
hapa nakubaliana na wewe na hasa kama umezoea sato sangara mumi, migebuka ukila hawa samak hamna kitu mle pia ukiwa wa imani ile (wasabato) huwezi kula samaki huku labda perege maana ukimtoa perege waliobaki wte hawana magamba.
 
Hivi visamaki vya mitoni vingi asiliake ni Perege kula Perege yataka Moyo ni sawasawa na kula dagaa mkubwa

Sato mpango mzima,ila mimi kuna kipidi nilienda kwenye Visiwa vya Sengerema kupitia sehemu inayoitwa mchangani kwa Boat nilikaa huko mwezi mzima kibiashara

Nikagundua wenyeji wa Visiwani wanakula sana Sangara na mimi nijajiunga kwenye mlolongo wa kula Sangara ebanaee uzalendo ulinishinda nikatafuta binti ili nipumzike nae nikampata binti mmoja wa Kisubi wakati huo simu za mkononi zilikuwa ni Dar tu.

Kwa maana nilikomaa nae kwa wiki mbili siku naondoka niliondoka kwa huzuni sana nikamuachia hela nikamuelekeza na mji niotoka kama kutakuwa cha ziada kama ujauzito kwa maana ilikuwa ni mtu na mtu apana kuachia[emoji23][emoji23]

Sangara kiboko!
Hahaa sangara wanaongeza libido mzee,
 
Back
Top Bottom