impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Hao wa Rwanda unawasiliana nao?Rwanda ninao wawili ila ningependa ningependa nijue huko kisiwani sijui kama yuko hai sijui ameshatangulia mbele kwa kweli sijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wa Rwanda unawasiliana nao?Rwanda ninao wawili ila ningependa ningependa nijue huko kisiwani sijui kama yuko hai sijui ameshatangulia mbele kwa kweli sijui.
Ukifika Biharamulo nistue najua kutoka hapo Ngara sio mbaliBiharamulo natarajia kwenda wiki ijayo nikifika huko nitakukumbusha unielekeze niulizie katika hicho kijiji siwezi kuuliza direct nitauliza kwa njia za panya ili nisihatarishe usalama wa mama na mtoto.
Nina kazi ya barabara.
Natumai atakuwa kijana mkubwa
Mimi naishi kibaha - PwaniUkifika Biharamulo nistue najua kutoka hapo Ngara sio mbali
Mawasiliano ya aghalabu kuna kipindi nilikuwa naishia Kigali halafu nafanya Mawasiliano Butare anakujaHao wa Rwanda unawasiliana nao?
Ok! Mimi nakumbuka kuna kipindi tulifanya mazungumzo ukaniambia uko Ngara.Mimi naishi kibaha - Pwani
Ngara ndio nilipozaliwa
Utakuwa umefanya vyema si unajua watanzania wenye asili ya Rwanda wengi wao ni ma Genius usifanye kosa walete watoto ma Genius wawe watawala maana sisi tumezaliwa tuwatawale wengine hatuja zaliwa kutawaliwa.Mawasiliano ya aghalabu kuna kipindi nilikuwa naishia Kigali halafu nafanya Mawasiliano Butare anakuja
Yule wa Kigali anakuwa hajui nataka mwez wa kumi na mbili niende nikalipue bomu ili ndugu wajuane na hawa wa Dar.
Nilikuwa na kazi nafanya Rusumo na nilikuwa na mradi wa kupeleka nafaka Rwanda na nilikuwa nime plant mashine ya kusaga mahindi Rwanda Kibungo vijijini ilikuwa kila mara naenda huko kwaajili ya kuona maendeleo, Serikali ikawekea mazingira magumu nikauza mashine nikaacha hiyo biashara.Ok! Mimi nakumbuka kuna kipindi tulifanya mazungumzo ukaniambia uko Ngara.
Au ulienda kusalimia
Kwakweli mimi siamini katika hilo,mimi naamini Binadamu wote wako sawa ila nimeona sasa ni wakati muafaka wa kukusanya mbegu zangu ili zijuane zipendane zisaidiane ili na mimi siku Betri ikitolewa waje kuliona kaburi la Baba yao.Utakuwa umefanya vyema si unajua watanzania wenye asili ya Rwanda wengi wao ni ma Genius usifanye kosa walete watoto ma Genius wawe watawala maana sisi tumezaliwa tuwatawale wengine hatuja zaliwa kutawaliwa.
Vizuri sana
Ni kweli binadamu wote ni sawa kuzaliwa na kufa lakini maisha yetu ya kuishi duniani ni tofauti yametawaliwa na ubinafsi.Kwakweli mimi siamini katika hilo,mimi naamini Binadamu wote wako sawa ila nimeona sasa ni wakati muafaka wa kukusanya mbegu zangu ili zijuane zipendane zisaidiane ili na mimi siku Betri ikitolewa waje kuliona kaburi la Baba yao.
Kibungo Zaza usinikumbushe nilipata Binti mmoja tukaanza kuonana mara kwa mara ila kipindi hicho Vita ilikua bado haijaanzaNilikuwa na kazi nafanya Rusumo na nilikuwa na mradi wa kupeleka nafaka Rwanda na nilikuwa nime plant mashine ya kusaga mahindi Rwanda Kibungo vijijini ilikuwa kila mara naenda huko kwaajili ya kuona maendeleo, Serikali ikawekea mazingira magumu nikauza mashine nikaacha hiyo biashara.
Lakini safari moja huanzisha nyingine ya kusalimia ilikuwa mbadala tu zaidi nilienda kikazi.
Aisee ingekuwa sasa hivi wangekuita Baharia lakini naamini umevuka hiyo hatua.Kibungo Zaza usinikumbushe nilipata Binti mmoja tukaanza kuonana mara kwa mara ila kipindi hicho Vita ilikua bado haijaanza
Na mimi nilikuwa barubaru kwelikweli
Inkotanyi zilipoingia rasmi na Wakongo nao wakajiunga kwenye vita ndio ukawa mwisho wa mawasiliano na yule binti.
Baada ya vita kupoa kidogo niikajaribu kupata habari zake lakini ilikuwa imeshaanza kuwa hatari.
Nilifuatilia baada Mauaji ya kutisha ya Kimbari nikasikia Mama yake na Baba yake waliuwawa na Interahamwe ila yeye na kaka ya walikimbilia Burundi.
Mimi mara nyingi ilikuwa wakati tunapiga Primus au Mitzing najikuta natengeza marafiki wengi halafu mara nyingine wananikaribisha makwao ndipo nakutana na Visu vikali kwelikweli halafu unajua uzuri wa Wanyaruanda unaweza kuanzisha uhusiano na Dada ya rafiki yako bila tatizo lolote tena mnaweza kunywa na famila nzima.na hata wazazi hawana tatizo wakati unatoka na Binti yao.Aisee ingekuwa sasa hivi wangekuita Baharia lakini naamini umevuka hiyo hatua.
Ila kiukweli watoto wa Kinyarwanda ni wazuri mno natural hata kama una roho ngumu kiasi gani wanamvuto wa lazima.
Mluguru wewe [emoji23]La chuo nakubaliana nao
Round about nakubaliana nao
Stand kwa sasa nakubaliana nao
Mabwawa ya kutengeneza mindu nakubaliana nao
Mengine siwez jibia
Siyo sangara tu atakua pia hajawahi kumuona sato mkubwa kabisa. Anaona tu hawa wa saizi ya kati.Huyo atakuwa hajawahi kumuona sangara mzee
Msomi nguli alishindwa kukutumia picha ya hao samaki?
Labda MINDUMorogoro ni jiji kasoro Bahali sasa hao Samaki wakubwa wanatokea wapi