Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Na huenda kweli umeacha alama..duh..wanawake tuna kazi sn
Lakini mimi kilochoniponza ni Sangara lakini yule nilimpenda kwa dhati sema nilipeleka Samaki Bukavu DRC nilipofika Rwanda tena nikazama kwenye Mapenzi na Msichana wa Kinyaruanda 😂😂😂😂
 
Yaani ilikuwa iwe hit n run lakini yule Mtoto alihamia kwenye kambi niliyokodisha ya wavuvi
Yaani Asubui wavuvi wakileta Sangara wanapasuliwa na kupakaliwa chumvi na kuanikwa juani
Yeye nae anaenda sokoni kuhemea akirudi Ugali unapikwa tunasikiliza redio kidogo Story nyiingi tunaingia chumbani nampelekea moto halafu usiku ndio kazi kazi


Nimeamini ww umeishi huku...wanapenda sn kutumia neno KUHEMEA🤣🤣🤣..mwanzoni nikawa naona kichekesho wakiongea mie nacheka balaa..hhaha anahemea..!maisha ya hvyo raha sn..ila possibles za kupata mimba ni kubwa..maana mwili unakuwa umerelax na.lazima unenepe🙋.huna hili wala lile...!sio kukariri tu ...lols
 
Nimeamini ww umeishi huku...wanapenda sn kutumia neno KUHEMEA🤣🤣🤣..mwanzoni nikawa naona kichekesho wakiongea mie nacheka balaa..hhaha anahemea..!maisha ya hvyo raha sn..ila possibles za kupata mimba ni kubwa..maana mwili unakuwa umerelax na.lazima unenepe🙋.huna hili wala lile...!sio kukariri tu ...lols
Na yeye alikuwa anafurahia tendo na alikuwa na miaka ishirini tu kuna kipindi niliugua malaria akaenda kunitafutia muarobaini akauchemsha nikawa nakunywa siku mbili tu nikarudi kwenye hali yangu
 
Lakini mimi kilochoniponza ni Sangara lakini yule nilimpenda kwa dhati sema nilipeleka Samaki Bukavu DRC nilipofika Rwanda tena nikazama kwenye Mapenzi na Msichana wa Kinyaruanda 😂😂😂😂
Yaan wewe mzee baba umetuwakilisha vyema sana kitaifa..lakini nakukumbusha tu una watoto wawili had sasa👯
 
Lakini mimi kilochoniponza ni Sangara lakini yule nilimpenda kwa dhati sema nilipeleka Samaki Bukavu DRC nilipofika Rwanda tena nikazama kwenye Mapenzi na Msichana wa Kinyaruanda 😂😂😂😂
Yaan wewe mzee baba umetuwakilisha vyema sana kitaifa.. lakini nakukumbusha tu una watoto wawili hadi sasa👯
 
Yaan ww mzee baba umetuwakilisha vyema sn kitaifa..lakini nakukumbush tu una watoto wawili had sasa👯
Rwanda ninao wawili ila ningependa ningependa nijue huko kisiwani sijui kama yuko hai sijui ameshatangulia mbele kwa kweli sijui.
 
Rwanda ninao wawili ila ningependa ningependa nijue huko kisiwani sijui kama yuko hai sijui ameshatangulia mbele kwa kweli sijui.


Kamaunaye wa kike huko Rwanda tafadhari ninaomba kufanya booking mapeemaa uwe mkwilima🤦!
 
Kama aliyekuambia ni mluguru au mkaguru usimwamini, hao watu kila kitu kwao ni kikubwa, kwa masikio yangu nimewasikia wakisema
  1. Mindu ndiyo bwawa kubwa kuliko yote Afrika Mashariki na Kati
  2. Round about ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
  3. Stand ya Msamvu ndiyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki na Kati
  4. Mlima Uluguru ndiyo wa pili kwa urefu katika Afrika Mashariki baada ya Kilimanjaro
  5. Morogoro ndiyo inaongoza kuwa na vyuo vikuu vingi Tanzania
  6. Morogoro ndiyo inaongoza kwa kutoa wachezaji nyota Tanzania (sina uhakika)
  7. Na sasa Morogoro ndiyo yenye samaki wakubwa kuliko wa ziwa Victoria
  8. Very soon watawaingiza wahanga wa lory la mafuta kwenye records (tusubiri)
Hatariii
 
Soko La Matunda La Kimataifa Lipo Morogoro Kijijini Huko Mgeta Najua Na Hili Utapinga Karibu Ujionee Maajabu Ya Mji Wetu

Wako
Mjomba Bwakila
 
Kamaunaye wa kike huko Rwanda tafadhari ninaomba kufanya booking mapeemaa uwe mkwilima🤦!
Wakike nilizaa na Binti mmoja huko Butare wakiume nilizaa na Binti mwingine wa Kigali.
Well wa kike nasikia ana mchumba na natarajia kwenda Rwanda baada ya Krismasi nitakaa kigali Wiki moja halafu nitaenda Butare tuombe uhai
 
Wakike nilizaa na Binti mmoja huko Butare wakiume nilizaa na Binti mwingine wa Kigali.
Well wa kike nasikia ana mchumba na natarajia kwenda Rwanda baada ya Krismasi nitakaa kigali Wiki moja halafu nitaenda Butare tuombe uhai


😅😅 bas najua bado vikinda...haha shikamoo bro..kale hela huko
 
Mologolo=Morogoro, kuna samaki kadhaa ambao wanapatikana kwenye mito na mabwawa, kama mto Kilombero Mkondoa n.k. lakini ukubwa wa samaki hao katu hawawezi kuwafikia samaki wa ziwa Victoria, mfano sangara wapo wanaovuka kilo200+, sato wa kilo 5+, kamongo na mumi.
 
Yule binti aliniambia wazazi wake wako Biharamulo na ndio kwao

Sasa muda mwingi sana umepita ilikuwa awamu ya tatu wakati Raisi Ben Mkapa

Ninaweza kwenda leo kumtafuta nikakuta mtoto kabambikiwa mtu mwingine

Tena pale kisiwani kulikuwa na Wakurya wengi na Wajaluo mchanganyiko na Wasukuma na Wazinza

Ila nilikiwa nikiambiwa Wakurya wengi ni wale Majambazi yaliyokuwa yamekimbia Mwanza yamekuja visiwani kwa sababu kulikuwa hakuna hata kituo cha Polisi

Sasa leo nikirudi nikute yule Binti kaolewa na na Mkurya na kambambikia mimba
Nitasambabishia Mama wa watu asanangwe na mapanga

Mimi mwenyewe niliishi kibabe tu pale Kisiwani
Ila iko Siku nitapita Bihamulo nilimdadisi sana mpaka akaniambia jina la Ukoo wake
Biharamulo natarajia kwenda wiki ijayo nikifika huko nitakukumbusha unielekeze niulizie katika hicho kijiji siwezi kuuliza direct nitauliza kwa njia za panya ili nisihatarishe usalama wa mama na mtoto.
Nina kazi ya barabara.
Natumai atakuwa kijana mkubwa
 
Lakini mimi kilochoniponza ni Sangara lakini yule nilimpenda kwa dhati sema nilipeleka Samaki Bukavu DRC nilipofika Rwanda tena nikazama kwenye Mapenzi na Msichana wa Kinyaruanda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee utakuwa ilikuwa kijana mbichi
Unapenda penda hovyo vipi huyo wa Rwanda haukuacha mtoto?
 
Back
Top Bottom