Eti Morogoro kunapatikana samaki wakubwa kuliko wale wa Ziwa Victoria?

Aise victory Kuna samaki wakubwa Kama ng'ombe ujue,,sasa Moro Kuna mto unahifadhi samaki mkubwa hivyo?
 
Inaonekana wana itikadi za kizungu.vipi ulidate nao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anaweza akatambulika kwa usomi nguri lakini asitambulike kwa maarifa bora. Maarifa yenye manufaa ndio kayakosa hanayo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…