Utumishi wa umma ni wito wajitume kwa uzalendo watapata Baraka🐒Endelea kutoa huduma kikamilifu kiongozi mungu atakulipa wapokea huduma sio makosa yetu 😀😀😀
Wafanye tu kazi mambo mazuri mbele kwa mbele tofauti na hapo watakuwa hawana tofauti na hao anaowalalamikia
Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Wewe ndo huna habari wala maarifa; sasa kama Waziri wa Utumishi keshashoma hotuba yake na haizungumzii nyongeza ya mishahara unataka chanzo gani kingine?Itakuwa mwaka wa saba bila increment yoyote, Hakika ajira ni zaidi ya Utumwa
Sikubaliani na Mama kwa mambo mengi Ila la mshahara unamuonea. Mei Mosi ni wiki ijayo. Ya nini kulishana maneno?Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Imeonyesha toka wapiNi kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Mwacheni mama Ajenge UCHUMI kwanza kama mmevumilia kwa Miaka 6 ENDELEENI KUVUMILIANi kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Tafuta hotuba ya Mwigulu ya muhtasari wa muelekeo wa bajeti. Acha kukurupuka.Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Kasemaje? Kwani umesahahu na mwaka jana si alihutubia hivyo hivyo? Uliona imepanda?Tafuta hotuba ya Mwigulu ya muhtasari wa muelekeo wa bajeti. Acha kukurupuka.
Kweli kabisa na ndiyo maana hii ni kama tetesi bado!Sikubaliani na Mama kwa mambo mengi Ila la mshahara unamuonea. Mei Mosi ni wiki ijayo. Ya nini kulishana maneno?
Tunaila wenyewe!Mmeichagua wenyewe......
Kabisa kabisa!Wewe ndo huna habari wala maarifa; sasa kama Waziri wa Utumishi keshashoma hotuba yake na haizungumzii nyongeza ya mishahara unataka chanzo gani kingine?
Yan matanzania majinga sana😀