Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmekusoma to yeyeKila mtu na msiba wake...wengine ndo huu sasa
Tule vumbi la chaki.Sasa Mwalimu atakula wapi.
Mama yupo Arusha kesharudi atapandishaTule vumbi la chaki.
Mwaka ule sio kama 2020 Lady Beauty Sky Eclat! Nitafanya mgomo binafsi wa kupanda ghorofani ili nijirushe nife. Bora kufa kishujaa kuliko upuuzi huu wa kuwapuuza wafanayakazi!
Mhhhhh unamaanisha?Kama Itakuwa Kweli Ujue Majizi Yapo
TehKazi iendelee.
Igweeeeee [emoji1666] [emoji1666]Hawahitaji kura zenu kubaki madarakani.
IgweKe!Igweeeeee [emoji1666] [emoji1666]
.Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?