Tetesi: Eti Na mwaka huu mishahara kutokupanda! Du!

Kama wafanyakazi wamewazidia kuwalipa maslahi yao watoe fursa kwa wale wanaotaka kula kona wapewe mafao yao wasepe, wakasake wa bei chee....vinginevyo utumishi wa umma utaonekana hauna maana na itafikia watu watakuwa hawatimizi wajibu wao kwa weledi, inabaki bora liende...
 
Eliufoo mzima?
 
Kwa nini msitoke huko utumwani?
 
Kisingizio tayari anacho aongeze ili iweje?

Mtapewa 10K basi.
 
Na itoshe kulipa nyongeza za mwaka zote ambazo hazijalipwa miaka ya nyuma
 
Kuongea uongo pia ni uchawi! Mwenzetu umerithi kwa babu au bibi yako?
 
Wewe ndo huna habari wala maarifa; sasa kama Waziri wa Utumishi keshashoma hotuba yake na haizungumzii nyongeza ya mishahara unataka chanzo gani kingine?

Yan matanzania majinga sana[emoji3]
Mjinga wewe unayefikiria Kila mtanzania anangoja kupata mshahara wa serikali.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
CCM mbele kwa mbele.
 
Wanataka wafanyakazi watii na wanyenyekevu yaani NDIYO ndio jibu
 
Jamani hii gesi ya kupikia nayo ina tatizo gani?
Mwezi uliopita ilikuwa Tshs 56,000/=
Leo hii nimekuta 59,000/=!!
Why wajameni! Tutakufaaaaa!!
 
Kuna Mheshimiwa mmoja alisema: "Hamia Burundi"
Sasa: "unataka kazi, fanya. Kama unaona mshahara mdogo pisha wenzio, uone kama tutakosa mtu hapa"
 
Mishahara juu taasisi za umma. Na wanasiasa Mfano, psssf, TRA, WCF ,HAZINA, huko. Wewe mzee wa halmashauri tulia ikuingie.
 
Watumishi hata msiumize kichwa mwendo ni ule ule chaka la kujifichia lipo tayari ni vita vya Ukraine.

Hivi wale watumishi wanaobebaga mabango siku ya meimosi huwa wanalipwa bei gani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa hiyo sisi tupigwe matozo wee! Ili wewe uongezewe mshahara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…