Eliufoo mzima?watumishi wa umma wa kitanzania poleni sana , yani tangu enzi za zile jamaa hadi leo hakuna hata mia , loh mungu awasaidie sana, maana wao kipaumbele chao ni wao na ndugu zao wengine mjifie tu, ndiomaana hawatosheki hadi wanataka sheria ya wake zao kuendelea kulaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kama sio Kuraaaaaaaaaaaaa
Kwa nini msitoke huko utumwani?Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
ila duh miaka 7 mingi sanaItakuwa mwaka wa saba bila increment yoyote, Hakika ajira ni zaidi ya Utumwa
Kwani wanaoipigia kura chadema iliwapandishia mishahara lini?Hawahitaji kura zenu kubaki madarakani.
Na itoshe kulipa nyongeza za mwaka zote ambazo hazijalipwa miaka ya nyumaNi kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
ni nani huyo tena mkuu?Eliufoo mzima?
Hiyo inatosha ndo maana wabunge hiyo wanapewa kwa masaa tu pale bungeni.Kwaiyo take home 600k haiwatoshi?
Kuongea uongo pia ni uchawi! Mwenzetu umerithi kwa babu au bibi yako?Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Mjinga wewe unayefikiria Kila mtanzania anangoja kupata mshahara wa serikali.Wewe ndo huna habari wala maarifa; sasa kama Waziri wa Utumishi keshashoma hotuba yake na haizungumzii nyongeza ya mishahara unataka chanzo gani kingine?
Yan matanzania majinga sana[emoji3]
CCM mbele kwa mbele.Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?
Mishahara juu taasisi za umma. Na wanasiasa Mfano, psssf, TRA, WCF ,HAZINA, huko. Wewe mzee wa halmashauri tulia ikuingie.Ni kazi kweli kweli! Inaonesha hata mwaka huu mishahara kuna uwezekano mkubwa sana haitapanda. Sasa sijui SSH anashindwa nini? Watendaji hawa wamepeleka Bajeti haina kabisa pendekezo la kupandisha mishahara. Sijui wanataka wafanyakazi waanza kuwa kama wale WaTanzania wanaoishi Marekeni?