Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ila wewe hutopauka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwann lkn??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe hutopauka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwann lkn??
Uliwahi kuwaonaHamna haja ya picha, wanafanana na Betina wa sani.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Eti eh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maake kwanza nichekeeeee
Sasa dada Maua ungeweka picha yako kusindikiza uzi ili wajue km hatupo hivyo
What ???Na hii baridi mtapauka kweli kweli
Hamnaganakazia namba 5
Angalia majibu yao yalivyo kuwa magumu, yana fanana na sura zao hahahahahUliwahi kuwaona
Uongoo tolea mf.Shida mnatuaminisha nyinyi ni wazuri kwa majina ya kwenye id zenu.
picha zakuvutia kana kwamba ni vitoto vya 20's kumbe vibibi ambayo tayari vina menopause.
I meanWhat ???
Ila wewe hutopauka
Ukitaka kujua uhalisia wao angalia miondoko yao majukwaani.Angalia majibu yao yalivyo kuwa magumu, yana fanana na sura zao hahahahah
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Eti eh
Anakudanganya huyo. Kuna kitu anatakaKwann? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muonekano huo 🚶Kwann? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmechoka mno kila siku kulia lia tu 🤣Hzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
Ungeweka kapicha Bas!!Hzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
Kwahiyo hutaki kuwa na sura ya baba yako aliyekuzaa??Mbona mnatusemaga tunasura za baba zetu