YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Tuma picha yako dm tuone kama ni kweli mtoa mada anachosema.
Why dm? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cazee usinifanyie hivyo wakati unanijua bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma picha yako dm tuone kama ni kweli mtoa mada anachosema.
🏃🏃🏃Naona sura ya ba mkubwa yule katili nikijiangalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akituma unidokeze broTuma picha yako dm tuone kama ni kweli mtoa mada anachosema.
Akituma unidokeze bro
[emoji125][emoji125][emoji125]
Tuonyeshe hiyo picha tukuoneUsikimbie rudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuonyeshe hiyo picha tukuone
Sio Ndevu Sema Ndevu za Kiyahudi unafeli wewe.😂😂😂😂😂
Hongera kwa kua na ndevu bebe
bado nakupenda bebe,Hzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
acha tuone vumbi likitimka kwa hizo mbio za KE wa jf😂😂Tukikifyeka kutatokea mtafutano wa ajabu😂😂😂acha tu tuendelee hivi
hamjajiumba ila kwanini useme wewe n pisikali under 21 kumbe ni shangazi yake na mjomba 😂 😂Kwan tumejiumba siee😂😂😂
Hatuendi popote, tuko na nyie bega kwa bega
Huu uzi bila picha ya mleta mada bado ni smartphone bila bandoHzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
comment ipo tayariHalf american naitafuta comment yako mkuu kwenye huu uzi 🤣🤣 threads kama hizi huwa hukai mbali Ms eyes
shangazi ana stress za vikoba na mikopo kausha damu maokoto yanakuwa mengi mpaka tozo ndani yake wakati 21 ni nauli tu na chips 😂 😂 😂😂😂😂😂
Kwan shangazi hawezi kukupa alicho nacho mwenye 21, embu msitutenge huko
Na hatuwaachi, tumechoka kelele zenu
Siioni😅comment ipo tayari
itakuwa umeniignore sio bure mangi sinaSiioni😅