Eti ni kweli wadada humu tumepauka?

Eti ni kweli wadada humu tumepauka?

Jamani nyie watu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ukweli mchungu!
Ila kwa kujifanya pisi hamjambo!!

Hapo hatujaweka uhuni!! Kwa kifupi wanawake wa jf ni Wa hovyo sana!
 
Hzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom

Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa

Hivi kati ya auntie na. Shangazi yupi akikulalia unakosa pumzi?
Antie kidogo mwepesi na anakuwa ana mantain body ukimwangalia kwa mbaali unahisi binti ila ukikaribia ndio unajua , kiufupi wanaupenda ujana perfume nyingi lipstick 👄 kwa wingi

Ila shangazi ndio kama vile mwili jumba (in darassa voice) ......naomba niishie hapa kwa leo
 
Mbona mnatusemaga tunasura za baba zetu
basi tuu waga tunazingua but ukweli mwanamke ni mwanamke ana punani ambayo wanaume ndio tunaaihitaji regardless ni mweupe, mnene mfupi kwa mwanaume kila mwanamke ni sawa kwasababu huko chini mmeumbwa sawa hizi zingine mbwembwe..
 
Jamani mnamaanisha mabinti wote humu jf mshawatia machoni?? Mbona mna dharau nyie wadau???
 
Kwan kila member wa kike humu mmeshamuona?? Kama hapana mbona mnaongelea kwa wingi? Acheni dharau!
 
Jamani mnamaanisha mabinti wote humu jf mshawatia machoni?? Mbona mna dharau nyie wadau???
1.salamu mkuu
second:samahani mkuu
af tatu na la mwisho nilikuwa na swali moja kutoka kwako


kwani umeoa humu jf au??
 
Jamani mnamaanisha mabinti wote humu jf mshawatia machoni?? Mbona mna dharau nyie wadau???
1.salamu mkuu
second:samahani mkuu
af tatu na la mwisho nilikuwa na swali moja kwako hivi


kwani umeoa humu jf au??
 
Back
Top Bottom