Eti ni kweli wadada humu tumepauka?

Eti ni kweli wadada humu tumepauka?

Utafiti nilioufanya kwenye mitandao ya kijamii ni kuwa, wadada warembo huwa ni watulivu sana mitandaoni. Huwezi wakuta wakitukana, wakigombana au wakiwa wamecharuka hovyo.

Sasa mjikadirie wenyewe wakuu.
 
Utafiti nilioufanya kwenye mitandao ya kijamii ni kuwa, wadada warembo huwa ni watulivu sana mitandaoni. Huwezi wakuta wakitukana, wakigombana au wakiwa wamecharuka hovyo.

Sasa mjikadirie wenyewe wakuu.
Uongo napinga
 
Back
Top Bottom