Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Umeanza na weweπππnakuona pisi kali ya jf
a diamond in the roughπ
Shangazi yako kabisa mm, endelea nkuachie razi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza na weweπππnakuona pisi kali ya jf
a diamond in the roughπ
koneksheni pleaseee π πππππ
Na shangazi ana vitu ambavyo watoto hawana, we jaribu mmoja utakuja leta ushuhuda
Try new things ebooo!ππ
ππ aisee hii kali eti vishirikinaVidada vingi humu Vishirikinaa,
Vyeusi na vifupi,
Kwa ufupi vimekaa kama vibwengo.
1.Wengi ni single motherHzi kelele za wanaume wanasema eti yafuatayo.
1. Tunasura za baba zetu
2. Tumepauka
3. Tunanjaaa
4. Tumezeeka
5. Wengi ni single mom
Kama ndio hivyoo wenye nazo mjitokeze mtusupport ili tusiwe na hivyo viashiria vya njaa
Umri siyo tatizo. Tupo pia wajomba humu. Tutaenda nao sambamba.1.Wengi ni single mother
2.Umri umeenda sana 32 and above
Mimi nafanana na baba sana hadi weusi , ufupi, nywele ndefu , macho yakubembeleza miguu ya bia , kucheka , kucha, yaani kila kitu kasoro sasa ni mwanaume baba yangu alikuwa handsome boy , sana nikatokea handsome girl ila sasa tunasemwa sanaKwahiyo hutaki kuwa na sura ya baba yako aliyekuzaa??
Ni kweli kabisaHakuna mwanamke aliyepauka. Mwanamke ni matunzo na hasa ridhiko la moyo. Mwanamke anayejitambua akipendwa vizuri akaridhika automatically atang'aa na kupendeza....
Jamani πππππVidada vingi humu ni Vishirikinaa,
Vyeusi na vifupi,
Kwa ufupi vimekaa kama vibwengo.
Hongera handsome girlMimi nafanana na baba sana hadi weusi , ufupi, nywele ndefu , macho yakubembeleza miguu ya bia , kucheka , kucha, yaani kila kitu kasoro sasa ni mwanaume baba yangu alikuwa handsome boy , sana nikatokea handsome girl ila sasa tunasemwa sana
Mungu anakuonaVidada vingi humu ni Vishirikinaa,
Vyeusi na vifupi,
Kwa ufupi vimekaa kama vibwengo.
Ukimisiwa comment mwenzako anakumiss kweliHongera handsome girl
Ningetuma shoo ila huu mtandao unawambeya jata uweje mzuri zeroo watakusema tuMbona hamna picha jamani.. Unique Flower ππ
Nani huyo πUkimisiwa comment mwenzako anakumiss kweli
Wewe nikikumiss uwe unacomment aisee acha uvivu haya sintokumiss tena nitaziraNani huyo π
Hawaishiwi maneno sioππNingetuma shoo ila huu mtandao unawambeya jata uweje mzuri zeroo watakusema tu
Unataka kijana wangu akanyongwe maana anti akimlalia kijana anakosa pumziππππ
Na shangazi ana vitu ambavyo watoto hawana, we jaribu mmoja utakuja leta ushuhuda
Try new things ebooo!ππ
ππ ntakuwa nacomment bana ππWewe nikikumiss uwe unacomment aisee acha uvivu haya sintokumiss tena nitazira